Ukiwa na akili una akili tu. Iko hivi tbc inapatikana kwa urahisi zaidi kwa sababu ukiwa na almost king'amuzi chochote tz unaweza kupata tbc so kama king'amuzi chako star tv haipo au azam tv haipo that means hutapata habari za bunge. So logically hoja ya upinzani ipo hapo. MAJORITY MJOMBA...
Woote hamfahamu mnaongea nini sidhani kama kuna hata mmoja wenu anafaham how 47 and 58 numbers can be categorized in statistics!!! jaribuni kuwa logical mnavobishana.. nani kati yenu amesomea masuala ya takwimu at least Diploma??? maana nikiuliza degree level nitawagalagaza bure jaribuni kuuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.