Nchi haileweki??
Labda kama ni kwenu huko Chato,nchi hiii ilikua almost imecollapse hii,
Unaweza kutupa vigezo gani unavyosimamia kusema kwamba nchi kwa sasa haieleweki kabla hatujaanza kukupa sisi vigezo vyetu??
Dunian hapa wamepita watu wengi sana,
Toka kwa baba yetu Adam na mama yetu Anna wamepita watu wengi sana wema na wabaya,
Mungu kupitia manabii na mitume wake ametuelezea simulizi nyiingi sana za watu waliopita na kufariki na kuzikwa,
Siyo kwamba tulipewa simulizi zile kwa bahati mbaya la...
Let say its true unacho kinena,
Je,ni makosa hao jamaa wakiwa ni wajumbe wa bodi ya jakaya kikwete na huku wakiteuliwa kuwa wajumbe wa Tanesco kama qualifications wanazo??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.