Polepole ajifunze kusoma alama za nyakati na aheshimu ulimwengu

Polepole Ni mtu smart Sana.. lakini Magufuli alimgeuza na kuwa mtu mpuuzi na takataka.

Sasa anajaribu kutuomba msamaha sisi tuliomuona mtu wa maana kipindi Cha nyuma..anatuomba msamahakwa kiujanja ujanja..
Binafsi neendelea kumsikiliza lakini siwezi kumsamehe.
 
Hana lolote mkuu. Aliaminika zamani, kwa sasa hana mvuto tena. Mienendo yake baada ya kula mavyeo hayakuakisi Polepole yule tuliyemfaham hapo zamani. Na kwa kuwa muda ni mwalimu mzuri, na kwa kuwa Technology ni mchawi, atakumbushwa kwa maneno yake mwenyewe wakati akiwa mpigania nchi na wakati amepata vyeo.
Thanks
 
Akina pole2 wametusumbua sana. Lkn pia Kuna watu walikuwa wanawasingizia kesi watu ili wapate vyeo. Jamaa walisumbua sana

Remember that day watu wanahoji kupitia report ya CAG kuwa zile 1.5trillion ziko wapi akawa anasema yeye atatoa darasa kuonesha zile pesa zimeenda wapi,zezeta Sana huyu jamaa
 
Polepole Ni mtu smart Sana.. lakini Magufuli alimgeuza na kuwa mtu mpuuzi na takataka.

Sasa anajaribu kutuomba msamaha sisi tuliomuona mtu wa maana kipindi Cha nyuma..anatuomba msamahakwa kiujanja ujanja..
Binafsi neendelea kumsikiliza lakini siwezi kumsamehe.

He has never been such smart,tokea kipind kile yupo katika kigoda Cha mwalim nyerere na Mzee butiku na watu wengineo,alionekana waz waz kuwa ni mchumia tumbo tuh,karma inamuhukum
 
Friends and Our Enemies,

Hakuna mwalimu bora wa kipind chote kama muda,muda tokea zama na zama umekuwa ni mwalim shupavu Sana ambae anaweza kutoa elimu ambayo ikaeleweka kwa kila mwenye akili timamu bila ya kutumia NGUVU kubwa sana,

Bahati kubwa sana kwa kizaz hiki mwalim.mwingine ambae ameongezeka ni Teknolojia.

Pole pole,yapata miez sita hiv sasa baada ya msiba mkubwa kabisa kulikumba Taifa letu,msiba ambao ni vigum kuupokea lkn kwa kuwa safar hii ni yetu sote hatuna budi kuupokea na kuendelea na maisha,tupo kwenye foleni hakuna atakaebakia kwenye safar hii,

Pole pole,amekataa kabisa kukubaliana na hali hii kias Cha kupelekea kuongea vitu vinavyomfanya aonekane kama ni mtu ambae amerukwa na akili.

Amesahau kabisa miez sita iliyopita yeye na baadh wenzake ndiyo walikuwa watu special ambao wametengeneza kikundi Chao ambacho ni UNTOUCHABLE...NDAN NA NJE YA CHAMA.

Ukithubutu kukosoa au kuhoji maamuz yoyote ndan ya kikundi hiko basi utakiona Cha mtema Kuni,ni kikundi ambacho kilijivisha ngozi ya kondoo huku kikihubiri uzalendo na utiifu kwa kiongoz mkuu kwa asilimia mia moja,leo kiongoz wa kikundi hiko ambacho pole pole na wenzake walikuwa walinz wa legacy ile hayupo.

Kukosekana kwa kiongoz huyo pole pole na wenzake kama Cyprian musiba,makonda,Sabaya n.k hawaamin kuwa it's all over na wanashindwa ku move on na maisha ya kawaida.

Wanachoshindwa kuelewa ni kwamba muda na Teknolojia vinawaumbua na kuwafanya waonekane vituko ndan ya ccm na nje ya ccm,kama hawakuweza ongea chochote kipind Taifa lipo kwenye majaribu makubwa hawawez eleweka wakijitokeza saiz na kuongelea mwenendo wa serikali ambayo wao wenyewe wameshiriki kuiunda na kuitetea.

Kinachomsumbua pole pole kwa sasa siyo uzalendo Wala uchungu wa nchi yake,kinachomnyima usingizi ni ile Hali ya kutoamin kuwa yeye si chochote Wala lolote katika serikali hii na kwamba hayupo Tena kwenye hiyo PARRALLEL STATE ambayo walishaitengeneza kuitafuna nchi hii.

Pole pole ajifunze kusoma alama za nyakati na aheshimu ulimwengu kwani siku zote sponsor nae hufariki.
Unaijua Vieitee wewe?
 
Kwani Polepole anachokifundisha amesema kipo katika Serikali ya Mama Samia? Amesema Serikali ya awamu ya 6 imepigwa copy? Binafsi naona Polepole anachokielezea nchi nyingi za Africa kipo na ndiyo kinatupa mkwamo katika maendeleo ya mataifa yetu.

Kama hakipo sasa anakieleza Cha Kaz gan?

Na anataka kumaanisha kitu gan,yeye hayupo tuh Kwenye inner circle atulie zama zingine zimeshaingia,akubaliane na hali asonge mbele
 
Kutoa maoni ni makosa au mnataka watu wasiongee

Kipind ambacho yeye na marehem wapo madarakan mbona hawakutoa room ya watu kukosoa,na kila aliekosoa alionekana kuwa siyo mzalendo??

Kumbe freedom of speech ni tamu Sana,ndiyo atambue sasa
 
Hata km tunamchukia polepole tucheukue mawazo yake yatatusaidia
Kipind ambacho yeye na marehem wapo madarakan mbona hawakutoa room ya watu kukosoa,na kila aliekosoa alionekana kuwa siyo mzalendo??

Kumbe freedom of speech ni tamu Sana,ndiyo atambue sasa
 
Polepole haamini macho yake, kasaidia wengi kupata teuzi mbalimbali kwa mwendazake, Ma-RC ,DC na MaDED wengi walimnyenyekea na kuamini kuwa ukiwa na connection nae basi ndio mpango mzima! Ghafla yeye binafsi sasa hana mtu hata mmoja wa kumpambania kupata teuzi , akifikilia cheo alichokuwa kaandaliwa na Mwendazake anachanganikiwa!
CCM wamsaidie kujiludi kwa kumvua kaubunge viti maalum walikompa, waanze kwa kumvua uanachama, Baada ya hapo iundwe tume ya kuchunguza miamala ya akaunt zake kwa miaka 5, ninaamini kuna kitu watapata!
CCM ilikusanya fedha nyingi bila matumizi, ilitaifisha fedha na mali nyingi bila utaratibu! Naamini hiki kiburi chake ni pesa inayosoma kwenye akaunt yake!
 
Friends and Our Enemies,

Hakuna mwalimu bora wa kipind chote kama muda,muda tokea zama na zama umekuwa ni mwalim shupavu Sana ambae anaweza kutoa elimu ambayo ikaeleweka kwa kila mwenye akili timamu bila ya kutumia NGUVU kubwa sana,

Bahati kubwa sana kwa kizaz hiki mwalim.mwingine ambae ameongezeka ni Teknolojia.

Pole pole,yapata miez sita hiv sasa baada ya msiba mkubwa kabisa kulikumba Taifa letu,msiba ambao ni vigum kuupokea lkn kwa kuwa safar hii ni yetu sote hatuna budi kuupokea na kuendelea na maisha,tupo kwenye foleni hakuna atakaebakia kwenye safar hii,

Pole pole,amekataa kabisa kukubaliana na hali hii kias Cha kupelekea kuongea vitu vinavyomfanya aonekane kama ni mtu ambae amerukwa na akili.

Amesahau kabisa miez sita iliyopita yeye na baadh wenzake ndiyo walikuwa watu special ambao wametengeneza kikundi Chao ambacho ni UNTOUCHABLE...NDAN NA NJE YA CHAMA.

Ukithubutu kukosoa au kuhoji maamuz yoyote ndan ya kikundi hiko basi utakiona Cha mtema Kuni,ni kikundi ambacho kilijivisha ngozi ya kondoo huku kikihubiri uzalendo na utiifu kwa kiongoz mkuu kwa asilimia mia moja,leo kiongoz wa kikundi hiko ambacho pole pole na wenzake walikuwa walinz wa legacy ile hayupo.

Kukosekana kwa kiongoz huyo pole pole na wenzake kama Cyprian musiba,makonda,Sabaya n.k hawaamin kuwa it's all over na wanashindwa ku move on na maisha ya kawaida.

Wanachoshindwa kuelewa ni kwamba muda na Teknolojia vinawaumbua na kuwafanya waonekane vituko ndan ya ccm na nje ya ccm,kama hawakuweza ongea chochote kipind Taifa lipo kwenye majaribu makubwa hawawez eleweka wakijitokeza saiz na kuongelea mwenendo wa serikali ambayo wao wenyewe wameshiriki kuiunda na kuitetea.

Kinachomsumbua pole pole kwa sasa siyo uzalendo Wala uchungu wa nchi yake,kinachomnyima usingizi ni ile Hali ya kutoamin kuwa yeye si chochote Wala lolote katika serikali hii na kwamba hayupo Tena kwenye hiyo PARRALLEL STATE ambayo walishaitengeneza kuitafuna nchi hii.

Pole pole ajifunze kusoma alama za nyakati na aheshimu ulimwengu kwani siku zote sponsor nae hufariki.
Wote,weye na yeye,ni miCCM.Mtulie.
 
Kwani Polepole anachokifundisha amesema kipo katika Serikali ya Mama Samia? Amesema Serikali ya awamu ya 6 imepigwa copy? Binafsi naona Polepole anachokielezea nchi nyingi za Africa kipo na ndiyo kinatupa mkwamo katika maendeleo ya mataifa yetu.
Angekua mkweli angekemea tangu wakati ule, akajikausha. Haaminiki tena. Inahitaji msuli kuweza kumtetea huyu jamaa ukaeleweka. Anazo hoja lakini yuko biased. Why now?
 
Polepole anafundisha somo lake kwa ujumla lakini watu mnakuja kumchonganisha na rais kamakwamba uzalendo ni dhambi hakuna sehemu polepole kamtaja mtu lakini ndo abatungiwa uzi mwingi wa kumdhiaki. Ni kibaya kipi polepole amekiongea kama sik kujitia ujuwaji.
Ni kwa sababu hayo yote yalikuwepo in less than 7 months back na hakusema hata kidogo.
 
62 Reactions
Reply
Back
Top Bottom