kwa kuwa hayo yamejulikana,
na kwa kuwa utajiri walionao wenzetu hawa una-amount into millions,
basi, who are the top 10 millionnaires of tanzania?
kuna anayeweza kutupa hiyo orodha?
kweli JF ni kiboko!
Hey people,
You caught me by surprise! Ninavoelewa mimi ni kuwa pale Mlimani kuna idara ... sijui faculty...kubwa ya ARTS (sikusoma mlimani) iliyo na madaktari na maprof wa ARTS, i do not know if you guys have the slightest idea the amount of harm mnayosababisha kwa waTz wenzetu hawa: dada...
haya ya kupongezana kupita kiasi ndo tunayakataa kila wakati ... kwani wamefanya nini cha ajabu? arent they doing their job? , wenye uelewa wa marketing na uchumi please comment on issues raised by Game Theory.
atuambie! wote wanatumia kiingereza wakati wa kujibu maswali? si kweli! kama sikosei mashindano ya 2005 au 2006 kuna mrembo alikuwa na mfasiri wake na nadhani alikuwa kwenye top 5, mnaokumbuka vizuri naomba mnisaidie. Kuhusu wahindi kuwa wabaguzi mi nina experience yangu mwenyewe, mdosi yule...
atuambie! wote wanatumia kiingereza wakati wa kujibu maswali? si kweli! kama sikosei mashindano ya 2005 au 2006 kuna mrembo alikuwa na mfasiri wake na nadhani alikuwa kwenye top 5, mnaokumbuka vizuri naomba mnisaidie. Kuhusu wahindi kuwa wabaguzi mi nina experience yangu mwenyewe, mdosi yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.