Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 156
Kwakuwa EL amesoma mambo ya theatre ARTS Katika ELIMU yake ya chuo kikuu,
Kwakuwa majibu na maelezo ambayo amekuwa akiyatoa ni ya kisanii,
Kwakuwa amedhirisha anaweza kutumia vizuri Elimu yake ya usanii wa jukwani (wengine wanamuita Ndanda Kossovo),
Na kwakuwa habari hii imethibitishwa na classmate wake wa miaka ya 75; JE wananchi wanasubiri nini kupuuza kauli zake za kisanii?
Tuendelee kuomba wakati huu wa kuwaamsha watanzania...
Kwakuwa majibu na maelezo ambayo amekuwa akiyatoa ni ya kisanii,
Kwakuwa amedhirisha anaweza kutumia vizuri Elimu yake ya usanii wa jukwani (wengine wanamuita Ndanda Kossovo),
Na kwakuwa habari hii imethibitishwa na classmate wake wa miaka ya 75; JE wananchi wanasubiri nini kupuuza kauli zake za kisanii?
Tuendelee kuomba wakati huu wa kuwaamsha watanzania...