Huko ni kujihangaisha,itakusaidia nn ukimpata halafu siku ya mwisho ukasimama peke yako huo uchawi wa YESU una manufaa wakwako huo hauna tija ni ubatili na kujilisha upepo
Yani hivi huo uchawi wote wa nini ?YESU anakupenda bila hata hayo mambo huyo utae mchaeia huo uchawi hata kaburini huendi nae na hapo hujamzuia kuchepuka,nakushauri OKOKA punguza mizigo mingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.