Sorry we ni ke au me. Zilizonyingi ni za keWapendwa msaada wapi naweza kupata mtu au organisations ambazo zinasaidia kutoa fee sponsorship kwenye vyuo..
Tujuze tu mkuu kuna wadogozetu,wake zetu nk.wanatakiwa kwenda kusoma na uwezo wa kuwapeleka masters hatuna.tisaidieSorry we ni ke au me. Zilizonyingi ni za ke
Hana jambo huyo, mwenzako anaongelea wale sponsor niachie my wangu.Tujuze tu mkuu kuna wadogozetu,wake zetu nk.wanatakiwa kwenda kusoma na uwezo wa kuwapeleka masters hatuna.tisaidie
Hahaaaa haaaaaa jamaniHana jambo huyo, mwenzako anaongelea wale sponsor niachie my wangu.
IPO moja ina sponsor kama unaweza nenda pale UDSM kama upo dar kaulizie utawala. Japo ni miaka mingi ila inaweza kuwepoNi wakike I’m 22 na nna division one form four na six
Umechaguliwa course ganiThanks ntaenda kuiangalia
ingia helptohelp.seWapendwa msaada wapi naweza kupata mtu au organisations ambazo zinasaidia kutoa fee sponsorship kwenye vyuo..
Mo dewj foundation pia wanatoa sponsershipThanks ntaenda kuiangalia