Recent content by Tunufm

  1. T

    PSRS: Majibu ya Maswali na Hoja za wadau, Desemba 2014/Januari 2015

    habari kwenu.. naomba kuuliza swali kwa watu wanaohusika na ajira. Hivi kwann watu mnaowaita kwenye usail wa mwanzo nitofuti ya watu mnaowaita kwenye usaili wa pili? na namba mnazotoa kipndi cha usaili ni tofauti na namba zinazotoka kwenye majibu ya usaili wa pili?
  2. T

    PSRS: Majibu ya Maswali na Hoja za wadau, Desemba 2014/Januari 2015

    habari kwenu.. samahan sana mimi naomba niulize swali kwa watu wanahusika na ajira... hivi ni kwann majina mnayoyatoa kwenye usaili wa mwanzo ni tofauti na majina ya usaili wa pili...?
  3. T

    DC MSTAAFU AFIA kwenye DALADALA !

    kila mtu jaman anatembea na kfo chakeile ilkuwa sku yake jaman....
  4. T

    DC MSTAAFU AFIA kwenye DALADALA !

    ama kwel jambo usilolijua ni kama usiku wa gza.....
  5. T

    DC MSTAAFU AFIA kwenye DALADALA !

    RIP My BROTHER, ama kwel uhai wa mtu uko mikonon mwa mtu,niliishiwa nguvu baada ya kuambiwa kaka yako kafarik ghafla, nilala na usiku kukaa kumuwaza alichokuwa ameniahd na mimi nlichomuahd kama wk moja ilyopita, ni kwel nliumia ila siwez kushndana na Mungu kuhusu hlo,ulinipa support kwenye...
Back
Top Bottom