Haumfahamu dr.Mengi nahisi ni amesaidia sana tena sana watu wenye uhitaji maalumu,hvyo hayaweza kuwasaidia wote wa tz ila kupitia hlo nao hufarijika sana zaidi ya vile unavyohisi ww na hapohapo na wengine hupata nafasi ya kutoa maombi yao ya mahitaji moja kwa moja kwa dr.Mengi kwa kupitia hicho...
Alikuwa anangoja nini kuavhia ofisi kama alikuwa anapuuzwa na viongozi,ni mmoja wapo wa wasomi duni na dhaifu asiejiheshimu yeye mwenyew ss ataweza kufanya kazi?mwache aende na atokomele mbali
Aifumue yote tu,chombo kipo kipo hakina kazi kama vile vya wenzetu km kenya na afrika kusini,hawana mbinu za kudili na ufisadi na rushwa,wamekuwa watu wa kupewa kazi na si kuzichimbua wao
Yaani huyu jamaa ni mnafiki mpaka basi,anatufanya wote tunaakili fupi km zake,ningekuwa nalaani ningelaani apate ulemavu usioweza kuppnyeka mpaka anaingia kaburini
Nimekutana na gari la serikali linafaulisha masanduku ya kura tena yaliyokwisha pigwa kasulu,yaani sijui vijana wa ukawa wamelala huku au nn,imeniuma sana ila naomba Mungu awaaibishe licha ya mipango yote ya sisimu kuiba kura kwa lowasa kushinda
Yote hayo ndivyo lakini wananchi wa tz wanauelewa mdogo sanasana yaani wanahongwa chumvi ya uvinza ambayo kimbo moja inauzwa 2000,waalimu wanapewa hela wagawane ambapo wanagawana 2000 hata 1000,ss hawa ndo tunaita wasomi wanahongwa 1000 na wagombea wa sisimu,bado tunasafari ndefu ya kujitambua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.