Recent content by Tunguja

  1. Tunguja

    Polisi wapiga marufuku CHADEMA kuadhimisha siku ya wanawake

    Hata ukisikia litakuwa katazo la maigizo,Boss hapewi masharti
  2. Tunguja

    Sina tatizo la tezi dume wala sukari,Ila nakojoa sana siku,nikila mboga aina fulani tatizo linaisha

    Miaka kadhaa liyopita nilikuwa nikiishi na mwanamke ambaye alikuwa na tatizo la kukojoa mara kwa mara usiku na mchana,nilidumu naye kwenye mahusiano miaka minne tu tukaachana. Miaka mitatu baada ya kuachana (2023 ) na mimi nikajikuta nina tatizo lile lile lake, tofauti yetu ni moja tu mimi...
  3. Tunguja

    GE2025 Hatua zisipochukuliwa kuna hatari siku ya uchaguzi ikawa siku ya aina yake. Watu hawatajitokeza kupiga Kura hasa maeneo ya mijini

    Balozi keshashema tayari tumeshapiga piga kura kupitia vitambulisho vyetu, tunasubiri tu matakeo ya ushindi wa kishindo kwa chama pendwa CCM
  4. Tunguja

    Wapinzani wa Samia mna ugonjwa wa akili. Mtu mwenye akili timamu anawezaje kuaminishwa mtungi wa gesi asilia unauzwa chini ya dola 1 ?

    Walioshangilia baada ya kuahidiwa matrekta milioni kumi unawazungumziaje?
  5. Tunguja

    PolePole kuzungumza na Umma kesho tarehe 1/9/2025 saa 3 usiku.

    Gwajiboy hoi taabani,huu mchezo amwachie Polepole tu
  6. Tunguja

    GE2025 Kampeni za Mgombea Urais wa CCM zapotea Mitandaoni, inadaiwa Chanzo ni Bomu la Polepole

    Alishawaambia mkishupaza shingo tusije tukalaumiana wakambeza,haya sasa!! Kakinukisha haswa
  7. Tunguja

    Watu smart na wenye pesa hawapo kama mnavyodhani. Kikwete hatawajibu

    Usimpangie akitaka atasema na asipotaka hatasema ,ni maamuzi yake mwenyewe.
  8. Tunguja

    Watanzania kwa Umoja wao waidharau Tume ya Uchaguzi, Waamua kutopiga Kura

    Kwakuwa Shujaa wa Taifa Polepole katusanua nitapiga kura ya udiwani tu.
  9. Tunguja

    Watanzania mnisamehe simsamehi Polepole, nikimsamehe Lissu risasi itamtoka mgongoni? Ben Saanane, Mawazo, Azovory Gwanda watafufuka?

    Sawa usimsamehe Polepole aliyetubu dhambi zake,Wasemehe wanao endelea kutenda dhambi
  10. Tunguja

    Unapata wapi ujasiri wa kumwacha kwa kashfa Mpenzi wako ambaye ana picha zako zako utupu?

    Unasema hazidumu vichwani mwa watu halafu hapo hapo unamtaja Amba luti,hizo za Ambaluti zimedumu kwenye masikio yako?
Back
Top Bottom