Recent content by Tumbo

  1. Tumbo

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Huduma mnazotoa haziridhishi, na hii hutokana na usimamizi mbovu, mnakatisha watu tiketi na kuwajaza vituoni kwa zaidi ya saa nzima na wakati mwingine unakuta magari yamepaki pembeni. Pia mabasi yanajaza watu mpaka kero, boresheni huduma iakisi na kuendana na jina halisi ya mabasi yaendayo haraka.
  2. Tumbo

    Chini ya utawala wa Magufuli, Taifa limepata hasara ya mabilioni na pia upotevu mkubwa wa fedha uliozua utata

    Bunge hili hili linaloongozwa na Ndungai ambalo na lenyewe ni sehem ya ubadhirifu, ndo liunde kamati? Thubutuuuu.
  3. Tumbo

    Video Sender bei gani zinapatikana wapi

    Nitafute ninazo kibao, njoo inbobo
  4. Tumbo

    GE2020 Tundu Lissu asema pingamizi ya kufanya kampeni kabla ya wakati ni kelele za kupuuzwa, awananga wahariri wa Vyombo vya Habari

    "SISI ni watu wa AMANI, SISI ni watu wa AMANI. Hatutapiga mtu, hatutaibia mtu, hatutamfanyia mtu vurugu. Hatutakubali KUPIGWA. Hatutakubali kufanyiwa VURUGU. Hatutakubali KUIBIWA. Hatutakubali KUONEWA. Tunataka UCHAGUZI HURU na wa HAKI. Tutakubali, tutakubali tukishindwa kwa HAKI". Haya ni...
  5. Tumbo

    GE2020 Mabeberu wameitikisa nchi, ajenda yao kuu ni kumuweka Tundu Lissu madarakani

    Alimaanisha Lissu haburuziki, anashindana kwa hoja. Sent from my H8216 using JamiiForums mobile app
  6. Tumbo

    GE2020 Mabeberu wameitikisa nchi, ajenda yao kuu ni kumuweka Tundu Lissu madarakani

    Ajenda ovu ni zipi zaidi ya miccm kuingia mikataba ya kinyonyaji kwa rasilimali za Taifa na wawekezaji mnaowaita mabeberu? Sent from my H8216 using JamiiForums mobile app
  7. Tumbo

    Mabeberu hawatoweza kumuweka Kibaraka wao kwa sababu kuu nyingi

    Kwa akili yako ndogo unasubiri usikie tume shtakiwa MIGA, nikupe pole sana we MATAGA. Kwanza unaelewa maana ya neno MIGA? Tuanzie hapo kabla hatujaenda mbali. Kwa kifupi tu ni kwamba tayari tuna makesi kibao huko MIGA. Haya naomba uelewa wako juu MIGA Convention.
  8. Tumbo

    Mabeberu hawatoweza kumuweka Kibaraka wao kwa sababu kuu nyingi

    Toka tupate uhuru mwaka 1961 mpaka sasa CCM ndo wametawala nchi, uwizi wa rasilimali zetu hasa madini zimefanyika ndani ya bunge kwa kura za ndiooooo toka kwa wabunge wa CCM wakipitisha mikataba ya kinyonyaji dhidi ya rasilimali za Taifa, Lissu ni mzalendo namba moja wa Taifa hili, mara zote...
  9. Tumbo

    Mabeberu hawatoweza kumuweka Kibaraka wao kwa sababu kuu nyingi

    Mmeleta maendeleo hadi kufikia uchumi wa kati, hofu yenu inatokana na nini hasa? Wapiga kura ni mabeberu au wananchi? Simameni mueleze ujenzi wa barabara, reli, madaraja na ndege then wananchi waamue. Acheni cheep politics nyie wasengerema.
  10. Tumbo

    GE2020 Mabeberu wameitikisa nchi, ajenda yao kuu ni kumuweka Tundu Lissu madarakani

    Usipofushwe na neno uzalendo wa mdomoni, ushindwe kuukabili ukweli. Hakuna asiyependa nchi yake.
  11. Tumbo

    CCM wenzangu: Ni kitu gani kinachotushinda kufanya siasa za kisayansi na za kisasa zaidi? Mbona tunafanya siasa za ki polisi polisi zaidi?

    Swali zuri lakini hutopata jibu la maana kwa miccm wenzio zaidi ya kuhusishwa na wapinzani. Shortly; ccm iliyokuwa na watu makini wenye kujenga hoja za kisiasa na kuleta ushawishi kwa watu kilishakufa kitambo sana...! miccm ya sasa bila kutumia nguvu ya dola kwenye maswala ya kisiasa hawawezi...
Back
Top Bottom