Kikao cha ovyo kabisa..., yaani tokea rais alivyoacha kuhudhuria kikao kimeharibikia hapo. Kumbuka korosho imeharibika baada ya maamuzi ya kiasi yaliyofanyika last year..., na mfanyaji mkubwa wa maamuzi hayo alikuwa ni rais. Hivyo uwezo wake leo ulikuwa nikitu cha msingi mno. Hapa watu wametoka...
Hi wadau,
Korosho ni tatizo, korosho limekuwa tatizo kwa muda mrefu na ninatatizo ambalo mpaka leo hii halina solution ya uhakika. Sasa kimefanyika kitu kizuri sana cha kuandaa Cashewnut investment forum ili kuweza kutafuta solution ya kudumu na kwenye tangazo ilionekana kuwa kikao kitafinyika...
Hizi ili shirika la Air Tanzania limekuwaje?...., mbona sikuhizi mmeota mapembe?....., yaani sikuhizi kwenda airport na kuondoka kwa muda muwafaka nikitu ambacho hakiwezekani....., last week kutoka Mwanza, ndege iliyopaswa kuondoka saa 3:10 usiku siku ya Ijumaa ndege ilichelewa kwa zaidi ya...
Mleta mada nadhani ni mkenya..., manake umekuwa unashabikia sana na kuwataka wa Tz wawakubali tu wa Kenya wawaongoze hata ndani ya nchi yao.
Mleta mada embu tueleze kuna makampuni mangapi ambayo yapo Kenya na yanaongozwa na wa Tz?..., wakenya ni watu ambao wa najulikana sana kwa tabia zao za...
Kaka ubalikiwe sana kwa maelekezo yako mkuu...., nashukuru sana. Nami nahisi Suma JKT lazima niwatebembelee kisha niwatembelee wafungaji wawili watatu wa kawaida tu wa njia tofauti tofauti...., then baada ya hapo ndio nianze kidogo as pilot project ambayo itaruhusu makosa, then kila ninavyo...
DrLove69 you make my day bro......, hii ndio faida ya kuomba msaada umu na kakutana na watu manguli na walio serious.
Mkuu kama una contact ya Suma JKT Ruvu naomba mkuu ili niwasiliane nao mapema na wanipangie siku nikawatembelee. With 3M I can start with two tanks as a pilot project.... , uku...
Kaka yaelekea mwenzangu uko kwenye area hii...., je naweza kuja kujifunza?...., au unaweza nashauri niende wapi niweze kuona na kujifunza kaka ili nami nikianza basi mradi wangu uwe na makosa machache.
Daby
Mkuu nashukuru sana kwa maelezo unayonipa. Eneo lipo Kigamboni kisarawe II. Kusema ukweli nataka kuifanya issue kitaalam kidogo.
Nashukuru kwa kunambia kuwa kila kata kuna bwana samaki embu ngoja nifuatilie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.