nimeliona hilo tatizo LA mtoto kwa kifipa huo ugonjwa tunauita 'kamwilonde'huu ugonjwa unaweza zunguka hosptali kibao na usipate tiba haya mambo ni ya kienyeji.Tumia magome mabichi ya mkuyu changanya binzari mbichi iliyosagwa changanya na maji chemsha hadi iive ikipoa ,baada ya hapo muugeshe...
Wakuu naomba kuuliza,mdogo wangu amehitimu kidato cha nne 2016 ila hajapewa leaving certificate lakini ana cheti cha kuzaliwa na result slip,vip anaweza kuchukuliwa jkt?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.