Recent content by tulemane

  1. T

    Mdhamini wa waasi wa ADF

    Walisema wamemkamata Lola nkunda but until now nothing is going on
  2. T

    Msaada: Mtoto wa mwaka mmoja kutokwa na vipele vidogodogo vigumu

    nimeliona hilo tatizo LA mtoto kwa kifipa huo ugonjwa tunauita 'kamwilonde'huu ugonjwa unaweza zunguka hosptali kibao na usipate tiba haya mambo ni ya kienyeji.Tumia magome mabichi ya mkuyu changanya binzari mbichi iliyosagwa changanya na maji chemsha hadi iive ikipoa ,baada ya hapo muugeshe...
  3. T

    Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo kwa wakujitolea, 2017

    Hapa swanga Leo mdogo wangu kafanya interview Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
  4. T

    Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo kwa wakujitolea, 2017

    Hata kwetu sumbawanga leo tarehe10/11/2017ilikuwa ndo mwisho wa kupokea maombi ya jkt
  5. T

    Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo kwa wakujitolea, 2017

    Wakuu naomba kuuliza,mdogo wangu amehitimu kidato cha nne 2016 ila hajapewa leaving certificate lakini ana cheti cha kuzaliwa na result slip,vip anaweza kuchukuliwa jkt?
  6. T

    Sababu, kwanini Acacia hawataki kulipa $300m

    Duuuu,shughuli ipo hapo
  7. T

    Blogger Robert Alai(Kenya) amtaja RC Makonda kuhusika na Shambulio dhidi ya Tundu Lissu

    Jambo hili la mheshimiwa lisu linaumiza sana Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom