Recent content by Tulamuwona

  1. T

    JamiiForums Tanzania Swali kuhusu biashara ya bajaji

    Ninaombwa kupewa shule kuhusu biashara ya bajaji. Mkataba gani unaingia na dereva. Inahitaji repair nara ngapi kwa mwezi na kwa gharama gain?
  2. T

    JamiiForums Tanzania Bodaboda Tabata wakataa fulana za CCM-Mahanga aingia mtini

    Inatia matumaini kama ni kweli wamekataa kutumika. Wakati umefika tutambue thamani ya kura zetu.
  3. T

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Mgimwa amenifikirisha sana

    Hivi tunatumia akili au na sisi ni siasa tu. Kama aliuwawa na kuna dalili hizo, unahitaji degree ya sheria kujua mtu yeyote akiuwawa ni lazima ichunguzwe. tutumie akili. Hata kama familia inaumia ni jukumu la serikali kuchunguza.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais wa Chama Cha Madaktari ajiuzulu wadhifa wake na kujiunga CHADEMA

    Sielewi hili swala lina uhusiani gani na dini, kabila au mkoa anaotoka. Watanzania ni waoga kutafta haki zao. Asante kwa ujasili uliouonyesha. Kama specialist uliinvest muda mwingi kwenye fan. tunahitaji viongozi wenye upeo kama wewe.
Back
Top Bottom