TRA, POLISI, LATRA na Wizara ya maliasili na utalii endeleeni kukaza hivyohivyo mpaka wote wakatie vibali.. Haiwezekani nilipe dola 500 TALA, Dola 50 LATRA, na hela kibao TRA, Alafu nyie hamjalipia kote huko na mnataka mfanye biashara bila vibali, eti kisa mnabeba wazungu.. Hiyo haiwezekani...
Tatizo lenu hamtaki kufanya biashara kihalali, mna noah na Alphard za private, hamjakatia TALA wala LATRA, Mnataka mfanye kazi kwa uhuru.. Hamuoni kuwa hamuwatendei hakibwale wanaofuata vigezo vyote?
Hao wazungu mkienda kwao wanaheshimu sana sheria, wakifika huku mnavunja sheria kisingizio eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.