Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,955
Habari wadau.
Mimi sio muongeaji sana ila kwa Leo kilichofanyika Bomang'ombe Moshi ni kuuchafua utalii.
Latra Leo walizuia magari yote ya Transfer yaliyokuwa yamebeba watalii wanaotoka Airport na yanayokwenda na Yale yanayotoka mlima Kilimanjaro kwa wageni waliomaliza trekking na wanaoenda kuanza trekking kisa wanahitaji Latra.
Na ni wao waliokuja tukakaa nao kikao wakitaka maoni ya wadau Ili wakate geneze sheria then wakasema watarudi tena kutuletea mrejesho
Leo tunashangaa wamezuia magari wengi wao waliokuwa wageni wao wamelipa vibali vyao ya Tanapa vya kuanza trekking Leo hawakuweza Tena pesa zimeenda Bure na siku imepotea
Wacha tuone wageni wataandika Nini huko Duniani.
USHAURI WANGU
Latra tafuteni namna Bora ya kufwatilia leseni zenu. Na mkumbuke utalii ulikuwa hoi ndio unafufuka vibali vingi viliisha ndio watu wanadunduliza wakate.
Si lazima Hadi wageni wapewe usumbufu kwa dhambi isiyowahusu.
Tangazieni wadau wapeni muda wakate hicho kileseni chenu Watu wametoka kwenye Hali ngumu jamani
Kuaibishana kwa wageni sio ustaarabu.
Mimi sio muongeaji sana ila kwa Leo kilichofanyika Bomang'ombe Moshi ni kuuchafua utalii.
Latra Leo walizuia magari yote ya Transfer yaliyokuwa yamebeba watalii wanaotoka Airport na yanayokwenda na Yale yanayotoka mlima Kilimanjaro kwa wageni waliomaliza trekking na wanaoenda kuanza trekking kisa wanahitaji Latra.
Na ni wao waliokuja tukakaa nao kikao wakitaka maoni ya wadau Ili wakate geneze sheria then wakasema watarudi tena kutuletea mrejesho
Leo tunashangaa wamezuia magari wengi wao waliokuwa wageni wao wamelipa vibali vyao ya Tanapa vya kuanza trekking Leo hawakuweza Tena pesa zimeenda Bure na siku imepotea
Wacha tuone wageni wataandika Nini huko Duniani.
USHAURI WANGU
Latra tafuteni namna Bora ya kufwatilia leseni zenu. Na mkumbuke utalii ulikuwa hoi ndio unafufuka vibali vingi viliisha ndio watu wanadunduliza wakate.
Si lazima Hadi wageni wapewe usumbufu kwa dhambi isiyowahusu.
Tangazieni wadau wapeni muda wakate hicho kileseni chenu Watu wametoka kwenye Hali ngumu jamani
Kuaibishana kwa wageni sio ustaarabu.