Recent content by tukolive

  1. T

    Jumapili Tunaenda Kushukuru Mungu Kanisani kwa Mwamposa!

    Umetapeliwa nini? tuache tukashukuru Mungu Kwa ushindi huu Kwa maana.... katika "nchi hii" mna mtu wa Mungu, naye ni mtu mwenye kuheshimiwa; yote asemayo hutukia kweli kweli; basi, twende huko; labda yeye aweza kutuambia habari ya safari yetu tunayoiendea.
  2. T

    Jumapili Tunaenda Kushukuru Mungu Kanisani kwa Mwamposa!

    JUMAPILI TUNAENDA KUMSHUKURU MUNGU KWA MWAMPOSA!" Mashabiki wote wa Simba Sports Club, ushindi wetu si wa kawaida – ni wa kiroho! Ni lazima tumrudishie Mungu utukufu kwa neema, nguvu na ushindi aliotujalia. Jumapili hii (Tarehe 13 Aprili, 2025) Mahali: Kanisa la EFATHA, Ubungo – Dar es Salaam...
  3. T

    Najiuliza tu, Mkuu wa Mkoa anapata wapi milioni 60 kwa ajili ya michezo?

    Tafuta hela uwe na zakwako kujadili matumizi ya hela za mtu huo sio uanaume
  4. T

    Rudini kuoa vijijini kwenu. Hata kama umezaliwa Dar mjini nenda kule alikotokea baba/mama yako deep huko ujichukulie chombo. Shauri zenu

    2 Abraham akamwambia mtumwa wake, ambaye alikuwa mkubwa kuliko wote wa nyumbani mwake na mkuu wa vyote alivyo kuwa navyo.”Weka mkono wako chini ya paja langu 3 na nitakufanya uape kwa Yahwe, Mungu wa Mbingu na nchi, kwamba hutampatia mwanangu mke kutoka kwa mabinti wa Wakanaani, miongoni mwao...
  5. T

    Ndizi mchemsho wa nyama na njegere

    Kuna kitimoto
Back
Top Bottom