Recent content by tukohapa

  1. T

    Aina za hasira za wanawake

    Nimempenda huyo wa namba 12.
  2. T

    Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years

    Asante mkuu ujumbe umefika.
  3. T

    Nini hutokea pale tunaposikia kuwa mtoto amebemendwa?

    Mkuu jambo hili si la kupinga moja kwa moja ni gumzo sana kwenye jamii zetu
  4. T

    Nini hutokea pale tunaposikia kuwa mtoto amebemendwa?

    Nini kinamdhuru mtoto. Tuna hoja kisayansi?
  5. T

    Nini hutokea pale tunaposikia kuwa mtoto amebemendwa?

    Mara nyingi imekua ni kawaida kusikia kuwa mama mwenye mtoto mdogo akiganya mapenzi na mtu baki au hata baba wa mtoto bila utaratibu maalumu, mtoto huweza kuathirika(kubemendwa). Je sababu ni nini kisayansi juu ya hii dhana? Nini hutokea?
  6. T

    Mahari ni hiari au Lazima!

    Najua ni muhimu nauliza tu ni sahihi kwa bint kumuwekea masharti mpz wake wakat flan kutofanya mapenzi hadi apeleke mahari kwao
  7. T

    Mahari ni hiari au Lazima!

    Mkuu Bujibuji mtu anaku force kabisa na tabia ya forcing sio kwenye jambo hlo tu kuna siku tupo ndani gagoma kugegedana mpaka tujadili mambo ya ndoa
  8. T

    Mahari ni hiari au Lazima!

    Hivyo hili suala la mtu kukupiga stop usiendelee kugegeda hadi ukatoe mahari kwao ni sawa mkuu?
  9. T

    Mahari ni hiari au Lazima!

    Daah so huyo aliyelala nae si ndo akatoe mahari kwanini mimi
  10. T

    Mahari ni hiari au Lazima!

    Asante nimekuelewa.
  11. T

    Mahari ni hiari au Lazima!

    Mpenzi wako ambaye mmeshakua nae kimapenzi baadae akaamua kutumia kigezo cha kukupiga stop kukutana tena mpaka upeleke mahari kwao ni sahihi? Na hamjakutana kwa miezi 7 au 8.
  12. T

    Ukifikia hatua hii, kuacha kazi ni busara?

    Sawa mkuu nimekuelewa. Je namna gani una establish hzo plan? imekua kama ndoto kuona mradi flani kichwani, nyumba nzuri n.k . Unajitahidi hiki ama kile kakipato kanakuangusha husimami wenye nguvu wananyakua hata kile kidogo ulichonacho. Hatari!
  13. T

    Ukifikia hatua hii, kuacha kazi ni busara?

    Umefanya kazi ya kuajiriwa miaka kumi, ukijumlisha, kutoa, kuzidisha huoni ulipotoka umefanya nini cha maana wala mbeleni hakuna muujiza wowote. Huna ulichoshika mkononi na unataka kuacha kazi maana imefika mahali kuacha kazi na kuendelea yote ni sawa tu. Busara hapo ni nini? Maana msongo wa...
  14. T

    Kwa wapare

    Mbona hili halijajibiwa wakuu
  15. T

    Kwa wapare

    Hodi humu wana lugha. Naomba mnipokee!
Back
Top Bottom