Hivi huyu nae ni great thinker kweli? Sasa huyu na Maji Marefu nani ana afadhali katika uelewa?Maana angalau huyo Maji Marefu alijua alichokua anasoma kuliko wewe unaembeza hata hujui alichokuwa anasoma.
Hivi Mbunge anaweza kukaimishwa Uwaziri(Mbunge na serilkali ni mihimili miwili tofauti)...
12. Julius Kambarage Nyerere, aliyekaa madarakani muda mrefu akidhani hii ni nchi ya wazanaki pekee. Aliua wote wanaompinga na wale wanaopingana na ukatoliki. Aliiacha chi kwenye umasikini kipindi hicho cha 1980,s kwa kisingizio cha kung'atuka.
Wewe hujui tu kwa nini makala hio imesitishwa. Inaelekea kuelezea ukweli juu ya wapiganiaji halisi wa uhuru wa nchi hii, tena watu wenyewe ni wa dini fulani! teh teh! Mzee wa lower ameiban makala hiyo, wala sio mhariri wa gazeti.
Hili ni tamko lako binafsi, usiseme sisi........ Unaonekana kuwa na chuki binafsi tu na Uislam. Ukisema dunia nzima imemshangaa Membe tena eti mseminari aliye potoka huo ni usenge, kwa kuwa kuuawa kwa Gadaff hakuna uhusiano na Uislam. Acheni udini, washamba nyie.
Siku zote nyie ndio mnasababisha chama kionekane ni cha upande watu wa upande fulani, Hivi mnachohoji kuhusu Zitto ni nini?
Hivi mnyika ni nani?
Hivi nani asiyejua kuwa zitto n M/kiti wa Kamati ya Mashirika ya Umma ambayo TANESCO ni mojawapo?
Hivi ni kukosa uelewa au ni makusudu tu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.