Siasa safi lazima isababishe ya fuatayo
1: siasa safi itazaa tunda la Amani
2:Siasa safi itasababisha uchumi wa nchi husika Julia
3: Siasa safi inaruhusu Uhuru wa kujieleza
4:Siasa safi itaruhusu Uhuru katika Mahakama na vyombo vya habari
Siasa safi ni ustawi wa nchi na siasa safi nizao la...
Kabla sijauliza swali naomba ni wapongeze police wetu. Wamegundua kuwa maandamano ya chadema ya tavulugha Amani. Hata kabla haya jafanyinka sasa naomba kuuliza ma swali mawili tu
1: Kwanini wasitumie hiyo interenensia iliyogundua maandamano ya chadema ya kuwa yataleta fujo kabla ya kufanyika...
Ndugu zangu wa Tanzania tumuombe Mungu aturejeshee Tanzania Yetu tuliyokuwa Mayo
1: Tanzania itakayothamini na kuheshimu utu wa watu wote
2: Tanzania itakayothamini na kuheshimu uhai wa watu
3: Tanzania isiyowazuia watu kuongea na kujadili Hali ya nchi Yao bila hofu ya watu kutekwa
4: Tanzania...
Mkuu Asante summos zipelekwa na Dalali wa mahakama ambaye wamemusajili. Na zinaambatanishwa na kiapo. Kuna mengi ya kueleza juu ya hayo Ila ngojea muda utaongea
Najaribu kuwaza na kufikilia unampaje mtoto jina hata hanazaliwa? Wanasiasa wa Tanzania ni watu wenye vituko kuliko. Yani uchaguzi haujafika wanalia wataiibiwa.
Hivi munaiibiwaje kabla kura hazijapigwa? Wanasiasa wa Tanzania 🇹🇿 munatuaibisha.
Na wapa ushauri ingieni vijijini mkauze Sera zenu...
Tumeshuhudia la wama nyingi katika mitandao ya kijamii wa kilaumu polisi mbeya kwa kuwatia nguvuni viongozi wa chama cha CHADEMA. Hivi ukiwa mpinzani ukikosea hutakiwi kukamatwa? Tanzania tunatakiwa kujipongeza kwa kuwa na jeshi imara na wanao jua kazi zao.
Je, mnataka Yale ya Kenya ya je hapa...
Hili nijambo muhimu na linalo leta hisia Kali kwenye mioyo ya watu. Jambo ni moja tu makonda yuko wapi?
Wako wanao tamani apotee kabisa. Wako wanaoomba hata kusikia tu makonda yuko wapi
Tu naomba familia ya makonda watokee watutulize mioyo yetu. Au viongozi waselikari watokee waseme...
Kwanza natanguliza samahani. Nimeona clip nyingi YouTube zikizungumza habari ambazo hazina Arya juu ya Arya ya makonda
Inasemekana kwa week mobile RC makonda hajaonekana hadharani. Kama kuna mtu ana uhakika na habari hizi au anajua huyu kipenzi cha wa Tanzania alipo atujuze
Hivi ile kauli mbiu ya awamu ya Tano hapa kazi tu ilienda wapi ilifia wapi? Mbona siku hizi siisikii popote?
Hii kauli mbiu hapa kazi tu iliasisiwa na kipenzi cha wa Tanzania JPM ili kuwa kauli ya uhamasishaji na waliitendea kazi kweli kweli. Jamani anayejua ilipo ajitokeze a niambie hapa kazi...
Ni siku ni miezi ni miaka toka Rais Magufuli atuachie pengo kubwa lisiloweza kuzibika mpaka Yesu arudi
Waliokuwa wanamchukia sasa wana mtamani. Kila mtu ana mkumbuka Magufuli na kila mtu angetamani Magufuli arudi Ila haiwezekani tena tumebaki kulia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.