Asingekuwepo shetani, dunia ingekaa katika usafi mno kama vilevile ilivyokuwa kabla ya Adamu kudanganywa.
Ni kweli pia, shetani ni mtumishi wa Mungu katika kuonyesha upendo wa Mungu ndani ya wanadamu. Maana anayeleta majaribu kwa watu ni shetani na ili imani yako ikue basi inabidi ushinde hilo...
Kutokana na Biblia, shetani aliumbwa kama wanadamu wote walivyoumbwa lakini pia shetani aliasi na kutupwa duniani hata kabla ya nchi kuumbwa.
"Kuna mbingu aina tatu, yaani mbingu ya kwanza, pili na ya tatu. Mbingu ya tatu pia huitwa peponi yaani aliko Muumba mwenyewe.
2 WAKORINTHO 12: 2-4
"...
Neno linaloonekana Dogo machoni pa MTU, likiongelewa na Mtumishi Wa Mungu (yaani Kristo) ogopa saana neno hilo.
Changamoto mliyonayo kwenye uchaguzi ujao, muujiza wowote unaweza usitendeke kwenu, kutokana na matunda ya maneno ya baadhi yenu kuwajibu hovyo watumishi Wa Mungu.(kumbuka mtajua)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.