Tubhuke
Member
- Jan 20, 2019
- 12
- 17
Neno linaloonekana Dogo machoni pa MTU, likiongelewa na Mtumishi Wa Mungu (yaani Kristo) ogopa saana neno hilo.
Changamoto mliyonayo kwenye uchaguzi ujao, muujiza wowote unaweza usitendeke kwenu, kutokana na matunda ya maneno ya baadhi yenu kuwajibu hovyo watumishi Wa Mungu.(kumbuka mtajua)
Ushauri ni huu. Kama mliwahi kuonywa, kumbuka ni wapi mlipo wahi kuonywa, mkapuuza na mtubu.
Unaweza puuza, au chukulia maanani ujumbe huu mdogo. Kazi ni kwenu
Kazi njemaa.....
Yesu anakuja.....
Changamoto mliyonayo kwenye uchaguzi ujao, muujiza wowote unaweza usitendeke kwenu, kutokana na matunda ya maneno ya baadhi yenu kuwajibu hovyo watumishi Wa Mungu.(kumbuka mtajua)
Ushauri ni huu. Kama mliwahi kuonywa, kumbuka ni wapi mlipo wahi kuonywa, mkapuuza na mtubu.
Unaweza puuza, au chukulia maanani ujumbe huu mdogo. Kazi ni kwenu
Kazi njemaa.....
Yesu anakuja.....