Recent content by tss

  1. tss

    Nchi gani ni nzuri kwa kozi za afya na gharama ya chini kwa mwanafunzi

    Siongelei mambo ya ushindani ,naongelea vigezo vilivyowekwa na tcu guide book kuhusu kusoma udaktari,swala la mtu kuwa na one na kukosa nafasi ni swala la ushindani but vigezo unakuwa navyo ,ndivyo ilivyo Kwa mtu mwenye D3 kukosa udaktari si kwamba Hana vigezo Bali ni ushindani tu ndo umemtoa...
  2. tss

    Nchi gani ni nzuri kwa kozi za afya na gharama ya chini kwa mwanafunzi

    Kwn kusoma MD si kuanzia D3 Yani phy,chem,bios Kwa advance,vyuo kama hubrt,bugando ni hela yako tu kikubwa uwe na kuanzia D kw Kila soma na kumbka D ni 50 advance so sio kizembe kizembe ujue
  3. tss

    Nchi gani ni nzuri kwa kozi za afya na gharama ya chini kwa mwanafunzi

    Hakuna kurudi ukisoma unakaza huko maana ukirudi huku ni njaa Kali tu Bora ujitose tu huko huko Kwa walioendelea kiuchumi
  4. tss

    VIGEZO VYA KUSOMA DIPLOMA YA MEDICAL DOCTOR

    D 3 phy,chem na bios,hivyo ndo vigezo vya diploma ya udaktari.maana ukisoma diploma ya CO ndo unaruhusiwa kusoma ni MD ko ni sawa tu ukisema ndo diploma yake
  5. tss

    Nipo njia panda

    Ada ya Cuhas ni kiasi gani kwn mkuu
  6. tss

    Nipo njia panda

    Ndoto kw nchi hii utasubiri sana[emoji16][emoji16][emoji16]
  7. tss

    Nipo njia panda

    phy-C chem-B bios-B
  8. tss

    Nipo njia panda

    [emoji16][emoji16][emoji16]ko kaka sijakuelewa unamaana gani?
  9. tss

    Nipo njia panda

    Siyo diploma mkuu nataka degree
  10. tss

    Nipo njia panda

    Tamaa ya hela kivp kweni we hulipwi,Kila anaesoma kozi lazma aangalie na maslahi pia wito ni sehemu ya kazi na ko siyo afya tu ,Cha msingi we jaribu kuonyesha ipi ni kozi inayoweza kufaa zaidi Kwa kuajiriwa au kujiajiri siyo usome half uje kuzurura mtaani
  11. tss

    Nipo njia panda

    Hata sijui japo famasi ndio nilikuwa nakubl zaidi
  12. tss

    Nipo njia panda

    Wakuu ule msemo wa usikosee kozi ya kusoma unanitesa nipo njia panda je kozi ipi nzuri ya afya ya kusoma kati ya hizi :-radiology, pharmacy au medical lab
  13. tss

    Uliza swali lolote linalohusu taaluma au nafasi za taaluma (academic positions)

    Eti kozi ya famasi Kwa shahada ipoje kuhusu soko lake.
  14. tss

    Kusomea tahasusi ya CBG

    Big NO,unasoma pharmacy vzr tu
Back
Top Bottom