Recent content by Tsomi paulo

  1. Tsomi paulo

    Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

    ile thread ya cancer inaitwa aje wakuu??
  2. Tsomi paulo

    Great deception (project blue beam & cern)

    this cern was responsible for nepal earthquake due cern power up beams.bt wakuu naomba ata kama unajua sana ama hajui hakuna maana ya kukashifiana jukwani.
  3. Tsomi paulo

    Kwanini sisi Waafrika ni Masikini?

    Sasa ndo imekuwa too much hata uongozi wanapeana kifamilia mfano mtoto wa jakaya
  4. Tsomi paulo

    Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

    utoka duniani wamezifikia na kuzichunguza kwa kina na muda wa kutosha?gytfffjjn dfhjn uffthj
  5. Tsomi paulo

    Mwanzo wa meditation

    Wakuu wote wa hili jukwaa nawasalimu. mimi nipo kenya ba mimi mkenya but napenda jamii forums sana,kupitia jf nimejifunza mengi,mkuu rakims naomba uniunge na group ili nifaidie pia
  6. Tsomi paulo

    Mambo ya kabla ya uwepo wa binadamu yalijulikanaje?

    swali hili ningependa kiranga ajibu ipaswavyo,we ni formular gani huwa unatumia ili kujua squareroot ya 2 si 8?? alafu unaweza apply the same formular to tell me that we are not created by God?????
  7. Tsomi paulo

    Hivi ni kweli kuhusu maswala haya kwenye nyota?

    asante mkuu kwa msaada uo bt unaeza explain kuhusu nyota ya zuhura? Alafu c naona kama nitakuwa slave wa wanawake azin nawategemea sana
  8. Tsomi paulo

    Hivi ni kweli kuhusu maswala haya kwenye nyota?

    wacha tungoje wenye ujuzi waje
  9. Tsomi paulo

    Hivi ni kweli kuhusu maswala haya kwenye nyota?

    Nina imani mpo salama wakuu wote wa hili jukwaa.niende direct kwa kile kilinileta hapa.nina girlfrnd wangu kwa takribana miezi 8 hivi.Tulipokuwa chuo sikugudua ili bt venye tuko home kwa likizo ndo nashang'aa. Swali 1. kuna watu wana nyota ya kupendwa na kila mtu? hii ni kwasababu uwa nampigia...
  10. Tsomi paulo

    Mwanzo wa meditation

    somo liendelee mkuu rakim.nimelimis sana.
  11. Tsomi paulo

    Mwanzo wa meditation

    kwani darasa aliendelei mkuu rakims.mi nipo hapa kenya nafuatilia kimya kimya bt meditation imekuwa ngumu sana kufanya hapa nairobi.ata kuwa usiku vipi bado kelele zitakuwa,honi za magari,reggea club,maneiba kugegendana n.k.t.bt niko na vibration mingi na sijawahi fanya meditation.mara kwa...
  12. Tsomi paulo

    Sabasaba

    Sabasaba not now.Raila we want your sabasaba to be on 7/7/2017.that will match on what you want.give us peace we are on development strategies
  13. Tsomi paulo

    The Man behind 2PAC's Death

    Kama 2pac alikufa.kazikwa wapi wadau?
  14. Tsomi paulo

    Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

    Nauliza ya 23 november mkuu
Back
Top Bottom