this cern was responsible for nepal earthquake due cern power up beams.bt wakuu naomba ata kama unajua sana ama hajui hakuna maana ya kukashifiana jukwani.
Wakuu wote wa hili jukwaa nawasalimu. mimi nipo kenya ba mimi mkenya but napenda jamii forums sana,kupitia jf nimejifunza mengi,mkuu rakims naomba uniunge na group ili nifaidie pia
swali hili ningependa kiranga ajibu ipaswavyo,we ni formular gani huwa unatumia ili kujua squareroot ya 2 si 8?? alafu unaweza apply the same formular to tell me that we are not created by God?????
Nina imani mpo salama wakuu wote wa hili jukwaa.niende direct kwa kile kilinileta hapa.nina girlfrnd wangu kwa takribana miezi 8 hivi.Tulipokuwa chuo sikugudua ili bt venye tuko home kwa likizo ndo nashang'aa.
Swali 1. kuna watu wana nyota ya kupendwa na kila mtu? hii ni kwasababu uwa nampigia...
kwani darasa aliendelei mkuu rakims.mi nipo hapa kenya nafuatilia kimya kimya bt meditation imekuwa ngumu sana kufanya hapa nairobi.ata kuwa usiku vipi bado kelele zitakuwa,honi za magari,reggea club,maneiba kugegendana n.k.t.bt
niko na vibration mingi na sijawahi fanya meditation.mara kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.