Halafu bin zero anapanda qatari air way kwenda kwenda kuomba just bi 40 na matzo juu lakini wapi anaacha kukusanya trillion of money
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wanawekeza kwa kufanya manunuzi ya vifaa na sio kuuunda vya kwako kwa hiyo adui anafahamu unaslaa ngapi za aina gani na udhaifu wake
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Sasa ww akili kama kisoda ubapigana na kakundi kasichokuwa na silaha zozote za maan ndo mnasifia tena kwa kuchangia na marekani , mkipigana na nchi yenye air supreme yoyote mbona kazi mtakuwa nayo
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.