Recent content by TRUVADA

  1. T

    Ijue KADCO, kampuni hewa iliyokuwa ikiendesha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport

    Mimi nilizima TV sikuamini kama eti Tanzania hakuna wanasheria mpaka tukaangukia kwa kile kiazi kwa kweli
  2. T

    Rais Samia awasili Saudi Arabia kushiriki mkutano unaozikutanisha nchi za Afrika na Saudi Arabia kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano

    A atafuta pesa ilihali kuna akina KADIKO wengi tu hapa wanavuna pesa mingi bila jasho na bila kulipa kodi
  3. T

    Makonda: Sitamsaliti Hayati Magufuli hata niwekewe bastola

    Hapo nape na mwigulu lazima wanune
  4. T

    Ijue KADCO, kampuni hewa iliyokuwa ikiendesha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport

    MbaRawa na Ag walikuwa kama watoto wadogo wanaulizwa hiki wanajibu kile Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  5. T

    Ijue KADCO, kampuni hewa iliyokuwa ikiendesha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport

    Tunasubier msamaha wa giggy money wetu huko mbele ,kuhusu DP world Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  6. T

    Ijue KADCO, kampuni hewa iliyokuwa ikiendesha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport

    Halafu bin zero anapanda qatari air way kwenda kwenda kuomba just bi 40 na matzo juu lakini wapi anaacha kukusanya trillion of money Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  7. T

    Mfalme wa Dubai atangaza kanuni kumi za kuendesha uchumi kwa miaka kumi ijayo

    Wanawekeza kwa kufanya manunuzi ya vifaa na sio kuuunda vya kwako kwa hiyo adui anafahamu unaslaa ngapi za aina gani na udhaifu wake Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  8. T

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Sasa ww akili kama kisoda ubapigana na kakundi kasichokuwa na silaha zozote za maan ndo mnasifia tena kwa kuchangia na marekani , mkipigana na nchi yenye air supreme yoyote mbona kazi mtakuwa nayo Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  9. T

    Mbunge Cosato Chumi: Serikali ione namna ya Kupunguza VAT, itawezesha Wananchi wengi kulipa Kodi na kwa hiyari

    Hii kitu kila siku watu huilalamikia kuhusu kodi kubwa lakin wapi
  10. T

    Nyuma ya pazia nchi hii kuna ufisadi na uvunjaji mkubwa wa sheria

    Umeongea petty issue sana ,wakati kuna kadco ,DP world ww unaongelea wabunge 19 are you serious
  11. T

    Ijue KADCO, kampuni hewa iliyokuwa ikiendesha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport

    Halafu unakuta yule ajuza anapanda ndege kwenda kuomba 30b kwa mbwembwe wakati mapato yamejaa kila mahala ,mara anatuongezee tozo
Back
Top Bottom