Huyu analeta propaganda ili tuamin Kaulila ameshindwa!!! Unafikiri ccm ingekua imeshinda ungekuta hawajatangaza hilo jimbo???? Tunajua wapinzani wanaposhinda huwa hawatangazi hadi wakose namna ya kuchakachua ndo wanatangaza
wameshindwa kuiba zenji wanajidai eti uchaguz haukuwa huru na haki!!! Kweli??? Kwa nin msifute tangu asubui ya tarehe 26??? Baada ya kushindwa ndiyo mnatambua haukuwa wa haki!!!! Mbona huku bara hamsemi??? Mtajutia maauzi yenu ya zenji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.