Acha kujitoa ufahamu we kjana,even if unalipwa 7500,matusi yanayoporomoshwa na viongozi wa chama chenu dhidi ya wapinzani hailezeki!!!!!,kuanzia huyo boss wenu mpaka ninyi vibarua..acheni kuwaonea watu kisa dola inawasuport,haya mambo yanamwisho...MSIJIDANGANYE..
Yes umechapiwa,sasa unataka ufanyeje?unapomchapa,wenzio pia usema wamechapiwa...kuchapa/kuchapiwa ni jambo la kawaida sana wewe kijana...tafuta pesa kwa bidiiiii 'Mbunye' isikuaribie malengo yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.