Recent content by TrueVoter

  1. T

    Inachezwa chini ya maji mno

    Binadamu wengi wana uraibu wa aina fulani unaofanya akili isifanye kazi yake kwa kiwango kwenye baadhi ya mambo..wewe unayo hii hali hata km hujui uko nayo.
  2. T

    Inachezwa chini ya maji mno

    wewe km akili yako imegota..jisemee hivyo mwenyewe!
  3. T

    Chahali: Hakuna ubishi tena. Samia ataondoka wakati wowote, hamalizi 2026. Ila kuifuta CCM kwa ujumla, tunahitaji njia nyingine!

    No, wa nini ccm..? katiba inawapa mamlaka yapi dhidi ya wananchi? labda km unamaanisha wastaafu km huyo wa msoga wmewapumbaza ccm wote na wao kuwa ndio ccm halafu wanai_drive tiss..
  4. T

    Chahali: Hakuna ubishi tena. Samia ataondoka wakati wowote, hamalizi 2026. Ila kuifuta CCM kwa ujumla, tunahitaji njia nyingine!

    ..symbiotic relations gani wakati tiss ndio walishaiteka ccm, wao ndio ccm iliyopo sasa.
  5. T

    PreGE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

    mada km hizi anayeanzisha lazima awe amebanwa haja kubwa..! akili yote inakuwa imahamia matakoni na kwenda chooni, hajui hata analoandika..hata mtoto wa darasa la 6 hawezi kuwaza hivi..
  6. T

    Waziri Aweso unajiharibia CV yako nzuri

    Hana jipya huyu, lbd kuongeza wake..
  7. T

    Waziri wa 'Vijana' atazunguka nchi nzima kusikiliza kero za Vijana?

    unateua motivational speaker kuwa mbunge na waziri..sijui awalete vijana pamoja, mbona huteui wale ambao wamefanikiwa kibiashara na wameanzia chini kabisa na sasa wamekwenda hadi nje ya mipaka ya Tanzania kibiashara..? Hao ndio mfano wa kuigwa na vijana wakisema na vijana wanawaelewa! kina...
  8. T

    Balozi wa Tanzania nchini Uswidi, Mhe. Mobhare Matinyi akiwa pamoja na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Raddy Energy

    serikali imejenga dam mpya kugenerate umeme mwingi..hawa juakali na megawatt hizo ndogo za nini? watamuuzia nani? sijaona wawakilishi wa TANESCO hapo au wizara ya nishati..unaanza uwekezaji bila kuwa na PPA? kwa nini wasione need ya kutengeneza nishati ya kupikia? hata hao ubalozi wmeshindwa...
  9. T

    Taasisi ya Mwalimu Nyerere inayoongozwa na Mzee Butiku inapoteza hadhi yake!

    Hakuna taasisi pale, walishafunga kitambo na chanzo ni yeye butiku kufanya MNF km taasisi ya familia, inaanzishwa sijui samia scholarship na kuwa na pesa nyingi wakati MNF hata kulipa wafanya usafi imeshindwa!
  10. T

    Mange Kimambi kashapewa pesa atulie kimya, wajinga ndio waliwao

    Polepole aliyekuwa mwenezi, yeye nani alimlipa kueleza yale ya ndani..achana na mange, aliyosema Polepole ndio sabb kubwa ya kuweka lengo lazima ccm watoke! wala si mange..maneno ya mange ni ya ushabiki tu!
  11. T

    Comments za mtandaoni kwenye pages zenye majina ya majeshi yetu ni hatari Sana. Chuki ipo juu. Imani imepotea kwa wengi

    Hakuna mtu anataka msaada..?jeshi kazi yao ni nini? wanamwangalia nani kuwalipa na kuwatunza..hela zinatoka wapi? mbinguni au ardhini..wanalipwa ili wafanye nini..?
Back
Top Bottom