Binadamu wengi wana uraibu wa aina fulani unaofanya akili isifanye kazi yake kwa kiwango kwenye baadhi ya mambo..wewe unayo hii hali hata km hujui uko nayo.
No, wa nini ccm..? katiba inawapa mamlaka yapi dhidi ya wananchi? labda km unamaanisha wastaafu km huyo wa msoga wmewapumbaza ccm wote na wao kuwa ndio ccm halafu wanai_drive tiss..
mada km hizi anayeanzisha lazima awe amebanwa haja kubwa..! akili yote inakuwa imahamia matakoni na kwenda chooni, hajui hata analoandika..hata mtoto wa darasa la 6 hawezi kuwaza hivi..
unateua motivational speaker kuwa mbunge na waziri..sijui awalete vijana pamoja, mbona huteui wale ambao wamefanikiwa kibiashara na wameanzia chini kabisa na sasa wamekwenda hadi nje ya mipaka ya Tanzania kibiashara..? Hao ndio mfano wa kuigwa na vijana wakisema na vijana wanawaelewa! kina...
serikali imejenga dam mpya kugenerate umeme mwingi..hawa juakali na megawatt hizo ndogo za nini? watamuuzia nani? sijaona wawakilishi wa TANESCO hapo au wizara ya nishati..unaanza uwekezaji bila kuwa na PPA? kwa nini wasione need ya kutengeneza nishati ya kupikia? hata hao ubalozi wmeshindwa...
Hakuna taasisi pale, walishafunga kitambo na chanzo ni yeye butiku kufanya MNF km taasisi ya familia, inaanzishwa sijui samia scholarship na kuwa na pesa nyingi wakati MNF hata kulipa wafanya usafi imeshindwa!
Polepole aliyekuwa mwenezi, yeye nani alimlipa kueleza yale ya ndani..achana na mange, aliyosema Polepole ndio sabb kubwa ya kuweka lengo lazima ccm watoke! wala si mange..maneno ya mange ni ya ushabiki tu!
Hakuna mtu anataka msaada..?jeshi kazi yao ni nini? wanamwangalia nani kuwalipa na kuwatunza..hela zinatoka wapi? mbinguni au ardhini..wanalipwa ili wafanye nini..?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.