Recent content by TrueVoter

  1. T

    JamiiForums Tanzania Wakili Jonathan Mndeme, aliyesomeshwa na CHADEMA, aungana na Wasaliti

    Chadema ina mapungufu makubwa katika kufanya vetting ya watu kuwa maafisa wa chama..kelele za mamluki ni za siku zote, badala ya mamluki kuonekana wajinga, wao chadema ndio wanakuwa wajinga, miaka nenda rudi mnahangaika na tatizo la usaliti ndani ya chama..mmekosa jibu, matatizo ya nchi mtaweza...
  2. T

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Huyu mzee ndie muhusika mkuu alieshiriki kuelekeza watu kupigwa risasi za kuwaua..! Toka awe kwenye hiyo nafasi matendo ya ukatili wa serikali dhidi ya raia ymeongezeka sana..! anayetakiwa kuanziwa kufanyiwa revenge ni huyu mzee!
  3. T

    JamiiForums Tanzania Wasomi, walimu wa vyuo vikuu wanadhihakiwa na Mwijaku kuwa hawana hela na wana njaa

    Wewe unaogopa kudhalilika? Kila mtu ana kusudi la kuwepo kwake duniani, hujaletwa kutumikia mfumo..au kutumikia nyumba na gari, tafuta kusudi la kuletwa kwako hapa ni nini..ukilifahamu hutaogopa kudhalilika..
  4. T

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    ..halafu ataishia wapi na hizo privilege..? Bora mwisho mwema kuliko mwanzo mwema!
  5. T

    JamiiForums Tanzania SGR Ina shida mahali, unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu?

    ..iko wazi kabisa serikali haiwez kufanya biashara ikafanikiwa, na kwa hapa tanzania..hulka na tabia za watanzania zilivyo ndio kabisa project yoyote ya serikali haiwez kufanikiwa.. Suluhisho: Sub-contract huduma zote kuanzia ukatishaji tiket, ulinzi, catering services/mgahawa ndani na nje ya...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    ..kazi km hizi zinafanywa na sekta binafsi, ukiona uoumbavu wa aina hii eti serikali inanunua meli, sijui matrekta ya kulimia watu, sijui benki ya ushirika..hizo ni geresha, serikali chini ya Mwl. ilishajaribu yote hayo IKASHINDWA..SERIKALI HAIWEZI KUFANYA BIASHARA! sasa ukiona hawa wajinga...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    Wewe unafurahi mtu wa bara kufanyiwa huu uharamia na wazanzibar..?
  8. T

    JamiiForums Tanzania Inaonekana wazi sasa kuwa Dangote alikimbilia kujenga refinery Kenya baada ya kukataliwa Tanzania

    Wewe ni mpumbavu..wala huhitaji roketi sayansi kufahamu kuwa hali ya sasa tanzania, hakuna mwekezaji anayejua biashara anaweza ku-risk kuweka mtaji wake tanzania! Hizo juhudi walizokuwa wanafanya kumbembeleza Dangote aweke refinery tanga ni za wapumbavu wasio na adabu, Mzee Dangote alishaamua na...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    ..taja wahusika bwn usilete mambo ya jumuiya hapa au sijui ccm..!
  10. T

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    Kuuliza tu kinasema nini ina matokeo gani? Ukilinganisha na kuwataja wahusika kwa jina lao..kipi kina matokeo..
  11. T

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    ..kusema jumuiya za ccm nakusema watekaji ni tiss kunafanana..? Taja wahusika kwa jina lao, ccm ina jumuiya nyingi, kwa hiyo zote zinateka..?
  12. T

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    Una uhakika ni ccm, au unasikia burudani kuwataja..kwa nini sio tiss..
  13. T

    JamiiForums Tanzania David Djumbe, msaidizi wa Tundu Lissu aongea mazito akiwa uhamishoni nje ya nchi 07 Agosti 2026

    KWA MAELEZO HAYA YA DAVID DJUMBE... 1. MTU ANAYETAJA CCM KM NDIO TATIZO LA TANZANIA, ATAKUWA NA TATIZO KICHWANI.. 2. KWA USHAHIDI HUU NCHI YETU NI DHAHIRI INAONGOZWA NA MAWAKALA WA SHETANI..AKIWEMO KIONGOZI MKUU HATA TAASISI ZOTE ZA SERIKALI TISS, POLISI, JW nk ZINAONGOZWA NA MAWAKALA WA...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya pombe zinazozalishwa Tanzania zapigwa marufuku kuuzwa Rwanda

    Kitu gani umeandika sasa..
  15. T

    JamiiForums Tanzania Rais Museveni aondoka nchini baada ya kukamilisha ziara rasmi

    Hakuna lolote, ni ujinga kudhani mwarabu atawekeza upate faida..
Back
Top Bottom