Chadema ina mapungufu makubwa katika kufanya vetting ya watu kuwa maafisa wa chama..kelele za mamluki ni za siku zote, badala ya mamluki kuonekana wajinga, wao chadema ndio wanakuwa wajinga, miaka nenda rudi mnahangaika na tatizo la usaliti ndani ya chama..mmekosa jibu, matatizo ya nchi mtaweza...
Huyu mzee ndie muhusika mkuu alieshiriki kuelekeza watu kupigwa risasi za kuwaua..!
Toka awe kwenye hiyo nafasi matendo ya ukatili wa serikali dhidi ya raia ymeongezeka sana..! anayetakiwa kuanziwa kufanyiwa revenge ni huyu mzee!
Wewe unaogopa kudhalilika? Kila mtu ana kusudi la kuwepo kwake duniani, hujaletwa kutumikia mfumo..au kutumikia nyumba na gari, tafuta kusudi la kuletwa kwako hapa ni nini..ukilifahamu hutaogopa kudhalilika..
..iko wazi kabisa serikali haiwez kufanya biashara ikafanikiwa, na kwa hapa tanzania..hulka na tabia za watanzania zilivyo ndio kabisa project yoyote ya serikali haiwez kufanikiwa..
Suluhisho:
Sub-contract huduma zote kuanzia ukatishaji tiket, ulinzi, catering services/mgahawa ndani na nje ya...
..kazi km hizi zinafanywa na sekta binafsi, ukiona uoumbavu wa aina hii eti serikali inanunua meli, sijui matrekta ya kulimia watu, sijui benki ya ushirika..hizo ni geresha, serikali chini ya Mwl. ilishajaribu yote hayo IKASHINDWA..SERIKALI HAIWEZI KUFANYA BIASHARA! sasa ukiona hawa wajinga...
Wewe ni mpumbavu..wala huhitaji roketi sayansi kufahamu kuwa hali ya sasa tanzania, hakuna mwekezaji anayejua biashara anaweza ku-risk kuweka mtaji wake tanzania! Hizo juhudi walizokuwa wanafanya kumbembeleza Dangote aweke refinery tanga ni za wapumbavu wasio na adabu, Mzee Dangote alishaamua na...
KWA MAELEZO HAYA YA DAVID DJUMBE...
1. MTU ANAYETAJA CCM KM NDIO TATIZO LA TANZANIA, ATAKUWA NA TATIZO KICHWANI..
2. KWA USHAHIDI HUU NCHI YETU NI DHAHIRI INAONGOZWA NA MAWAKALA WA SHETANI..AKIWEMO KIONGOZI MKUU HATA TAASISI ZOTE ZA SERIKALI TISS, POLISI, JW nk ZINAONGOZWA NA MAWAKALA WA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.