Mimi niliomba chuo mwaka jana nikapata open university pamoja na mkopo. Nikafanya registration, lakini nikaahirisha. Nimeomba tena mwaka huu TCU na HESLB baada ya kuwithdraw OUT. Nimepata chuo lakini hofu yangu mkopo. Ushauri wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.