Bagamoyo university kuna nini mbona ada kubwa sana?

God'sBeliever

JF-Expert Member
Sep 1, 2015
5,790
3,020
habari za leo dadaz, kakaz, madogo akina mama na baba babu n.k shkamooni. i hope wazima wa afya namin sijambo kabisa mungu mkubwa.
naombeni kwa wanaokijua hiki chuo cha bagamoyo embu nijuzeni kina nini hasa kwa ninin ada yao ni kubwa sana. bnlitaka nkasome bachelor of science in biology kuchek ada 3million. nkaaishisha zoez nkaenda kulala kwanza.
nkaamka nkajiuliza kuna nini kulikono humio. mliosoma, mnaosoma, mnaofanya kazi hapo au mnaokijua emb mniambie kin a toa huduma quality gan kabla cjatia shuti la mwisho la penati fainal ijulikane nan mshind.
 
1)Kipo paribu na bahari,hautaenda buchani,kikubwa uende na ndoano.

2)waganga wa kienyeji ni wa kumwaga,jogoo jeusi tu prof anajichanganya anakuandikia A,jogoo jeupe chuo kinajichanganya hakikudai ada

3)Bandari inajengwa huko,utapata deiwaka ya kubeba tofali,mpunga huo.
 
hahaha huenda tu ukipata reg number na kazi ya ututorial asistance unapewa.
 
1)Kio karibu na bahari,hautaenda buchani,kikubwa uende na ndoano.

2)waganga wa kienyeji ni wa kumwaga,jogoo jeusi tu prof anajichanganya anakuandikia A,jogoo jeupe chuo kinajichanganya hakikudai ada

3)Bandari inajengwa huko,utapata deiwaka ya kubeba tofali,mpunga huo.

nilkua nmenuna nkajkuta nmecheka tu
 
usikichague chagua pale unapomudu ndugu maana serikali ya ccm imeshindwa ku control hizi ada. tangu chekechea hadi university kila mwenye institution anajipangia mwenyewe
 
Nakushauri usikichague maana mimi nilikuwa nasoma hapo lakin niliahirisha kwa sababu ada kubwa miundominu mibovu maabara zilizopo ni afadhali na za shule za sekondari so nakushauri kama unajipenda usiende hapo ni majanga matupu
 
1)Kipo paribu na bahari,hautaenda buchani,kikubwa uende na ndoano.

2)waganga wa kienyeji ni wa kumwaga,jogoo jeusi tu prof anajichanganya anakuandikia A,jogoo jeupe chuo kinajichanganya hakikudai ada

3)Bandari inajengwa huko,utapata deiwaka ya kubeba tofali,mpunga huo.
kwan una manisha jogoo gan au mude?
 
Nakushauri usikichague maana mimi nilikuwa nasoma hapo lakin niliahirisha kwa sababu ada kubwa miundominu mibovu maabara zilizopo ni afadhali na za shule za sekondari so nakushauri kama unajipenda usiende hapo ni majanga matupu
daaa mm nkazan ni cha kishua kumbe michosho tuu halaf nligoogle nkaona magofu kibao cjui ndo madarasa khaaa. kwanza nan wamiliki wake
 
Natumai mu-wazima kabisa.
Haya, kama wanavyosema watu kuwa "JASIRI
HAACHI ASILI" kwa hiyo si vibaya tukiendelea
kuangalia vile vitu ambavyo vinapatikana katika
ASILI YETU YA KIAFRIKA na kutokukubali kuwa
WATUMWA kwa sababu tu "MSAHAU/MKATAA
KWAO NI MTUMWA" sasa basi tusiwe
WATUMWA kwa kukataa vya kwetu na
kudumisha MILA ZA WENZETU na ndio maana
wenzetu wamekuwa wakiendelea kwa sababu tu
wamekuwa wakidumisha MILA zao vile
inavyotakikana kuliko kutukuza MILA ZA
WENZAO.
Sasa leo kuna hii dawa ambayo inajulikana
kama MVWAZA au AZMAH, inaweza ikawa
umeshawahi kuiskia labda, au kuambiwa
pengine au hata kuitumia pia, labda inaweza
ikawa inajulikana kwa jina jingine kwenye kabila
lenu yawezekana lakini kwa mimi naifaham
ikijulikana kwa jina la MVWAZA au AZMAH.
Dawa hii inatumika kunako mambo kadha wa
kadha kama nilivyokwisha dokeza kunako
kichwa cha habari hapo juu kuwa, inatumika
kuleta mvuto kwa mtu, kama ulikuwa ni mtu wa
kuchukiwa na watu ama kutokupendwa tu bila
sababu yoyote basi watu wakatokea
kukuchukia, dawa hii kazi yake ni kukuongezea
mvuto kwa kiasi kikubwa mno.
Wataalam wanashauri unapokuwa na dawa hii
inatakiwa kuwa makini sana hasa na jinsia
tofauti kwa sababu unapoinuia basi yenyewe
hufanya kazi kama vile ambavyo umeinuia, hasa
kwenye suala la mvuto kwa mwanamke
utakuwa ni mwenye mvuto mno kwa jinsia ya
kiume na pia kwa mwanaume huamsha sana
hisia za mvuto kwa jinsia ya kike na vinginevyo.
Dawa hii kazi yake nyingine ni kupumbaza mtu
ambaye utamkusudia kwa lengo maalum,
mathalan ; Natumai mtakuwa mmeskia labda
mtu akitafutwa na polisi na utakuta polisi
anakufaham na mkapishana kabisa pasina
shaka yoyote bila ya kukukamata.
Au utakuwa umeskia labda mtu ana kesi
mahakamani, pengine ni kesi kubwa tu ambayo
kwenye mazingira ya kikawaida inakuwa ni
ngumu kuchomoka, lakini kwa dawa hii ni
jambo la ajabu sana ambalo utaweza
kushangaa na utaskia mtu mwenye kesi husika
akishinda kesi au akaachiwa huru kuonekana
kuwa hana hatia au akashinda kesi kwenye
mazingira ya kutatanisha kabisa.
Dawa hii pia inaweza kumpumbaza mtu akiwa
dukani au hata njiani na ukamuamuru mtu
husika afanye jambo fulani labda unaweza kuwa
umeskia kuwa mtu ameuziwa hata kipande cha
chupa akiambiwa kuwa ni ALMASI na asielewe
mpaka pale anapokuwa ameachana na huyo
aliyemuuzia ndipo anapokuja kugundua kuwa
alichouziwa si kitu ambacho alichokuwa
akikitarajia kuwa ndio hicho.
Yani unapoitumia inakuwa kama inampumbaza
au kumfunga mtu husika hata kwenye kuongea,
ni wewe tu ndiye unakuwa ukiskilizwa.
Wengine wamekuwa wakiitumia kuwapumbaza
watu kwa kutumia labda pesa bandia kwa
kumpa mtu wa dukani au pengine hata m-pesa
au tigo pesa then utakuta mtu anakuja
kugundua baadae kabisa kuwa alizopewa ni
pesa bandia, na anaweza akagundua ndio lakini
bila ya kujua ni nani aliyemkabidhi pesa hizo
feki.
Kwa kifupi ina mambo mengi sana na uwezo wa
ajabu kabisa. Hiyo ndiyo MVWAZA au AZMAH
wapo wengi wakiitumia dawa hii na pengine
waweza kuwa umeiskia au kuambiwa mahala,
au labda na jina linaweza kuwa ni tofauti ila
kazi zake zinaweza kuwa ni kama hii kwa
asilimia 100, sasa sjui kwa kwenu mtakuwa
mnaiitaje lakini kwa mimi naifaham ikijulikana
kwa jina la AZMAH.
Dawa hii inawafaa wanafunzi kwa sababu
itawarahisishia maisha ya chuoni mfano huna
hela na ada unadaiwa basi ukisema tu sina
wanakupa muda wa kutafuta. yaani jina lako
litatamba popote hakuna kudisco yaani full
kufaulu.
tumeanza ofa yetu itadumu mwezi mmoja,kwa
mawasiliano zaidi tutafute kwa namba
0718151415
duu hadi huku tena samahan bwana mimi nimemchagua bwana mungu
 
usikichague chagua pale unapomudu ndugu maana serikali ya ccm imeshindwa ku control hizi ada. tangu chekechea hadi university kila mwenye institution anajipangia mwenyewe
sawa mama d nimekupata mama.
 
hahaha huenda tu ukipata reg number na kazi ya ututorial asistance unapewa.

bac chuo cha pwani hiki hakina mishe ila nahis kuna jambo la kipekee hawawez kupandisha ada hivi au kwa sababu madarasa ni ya magofu maana nime ki google picha zake au kama vp wasomeshe wazungu bac coz wao watalii
 
Back
Top Bottom