God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,790
- 3,020
habari za leo dadaz, kakaz, madogo akina mama na baba babu n.k shkamooni. i hope wazima wa afya namin sijambo kabisa mungu mkubwa.
naombeni kwa wanaokijua hiki chuo cha bagamoyo embu nijuzeni kina nini hasa kwa ninin ada yao ni kubwa sana. bnlitaka nkasome bachelor of science in biology kuchek ada 3million. nkaaishisha zoez nkaenda kulala kwanza.
nkaamka nkajiuliza kuna nini kulikono humio. mliosoma, mnaosoma, mnaofanya kazi hapo au mnaokijua emb mniambie kin a toa huduma quality gan kabla cjatia shuti la mwisho la penati fainal ijulikane nan mshind.
naombeni kwa wanaokijua hiki chuo cha bagamoyo embu nijuzeni kina nini hasa kwa ninin ada yao ni kubwa sana. bnlitaka nkasome bachelor of science in biology kuchek ada 3million. nkaaishisha zoez nkaenda kulala kwanza.
nkaamka nkajiuliza kuna nini kulikono humio. mliosoma, mnaosoma, mnaofanya kazi hapo au mnaokijua emb mniambie kin a toa huduma quality gan kabla cjatia shuti la mwisho la penati fainal ijulikane nan mshind.