Mwanamke ukiona tu anakupangia hadi pesa ya wewe kumuhudumia yeye ujue anakumudu Yani wewe ni dhaifu kwake humuwezi.
Itabidi uachane nae mapema, suala la huduma linakujaga automatically Kwenye mahusiano.
Umemjibu vizuri sana.
Mtoa mada yupo sahihi sana mwanamke mzidi vitu vingi na usijaribu kumuwezesha naongea kwa uzoefu kabisa iliwahi kunikuta na huyo mwanamke ni mimi ndo nilimbikiri lakin yalinishinda ilibidi nimuache tu.
Funzo: usimuamshe aliyelala
Achana na huyo mwanamke mkuu
Nishawahi kupitia hiyo Hali niliamua kuachana nae na nikaja kugundua ni uamuzi Bora kabisa nliowahi kuufanya.
Kukosa options ndo kuna sababisha uone ugumu kumuachia, Wakati mwanamke anaweza kuwa na mahusiano serious na wewe lakini akaendelea kugawa namba huko nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.