Recent content by Trubetzkoy

  1. Trubetzkoy

    JamiiForums Tanzania Busega: Mwalimu wa shule ya sekondari Chegeni ashikiliwa kwa mauaji ya Mhandisi Wa idara ya maji,Bwana Sifael Senzota

    Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
  2. Trubetzkoy

    JamiiForums Tanzania StarTV yakatisha matangazo ya BBC Swahili baada ya mtangazaji kusoma kichwa cha habari

    Hii nimeiona dah! Nchi yangu inazidi kuwa tamu walah!
  3. Trubetzkoy

    JamiiForums Tanzania Kazi ya kutengeneza muziki studio inahitaji utulivu lasivyo wasanii wataku sababishia kesi ya mauaji !

    Hapa producer asiposhukiwa na roho mtakatifu maamuzi atakayochukua hapaswi kulaumiwa
  4. Trubetzkoy

    JamiiForums Tanzania Chaumma hawana Habari na mambo ya Wagombea wa CCM Wao wamejikita kwenye kutafuta Majimbo, ila Chadema wako busy na mkutano mkuu wa CCM!

    Hujui kama chadema wamezuiliwa kufanya shughuli za kisiasa?
  5. Trubetzkoy

    JamiiForums Tanzania Tetesi: GE2025 Waliopenya kamati za CCM wilaya na walioliwa vichwa

    Anasubiri vinini?
  6. Trubetzkoy

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baba Levo na Serukamba moshi mweupe ubunge Kigoma

    Serukamba amehusika wapi kwenye hii habari? Mbona kichwa kimemtaja ila ndani ya habari haonekani?
  7. Trubetzkoy

    JamiiForums Tanzania Mwaka huu Serikali imetumia mfumo wa PEPMIS wa mwaka jana kupandisha madaraja Kwa mwaka 2024/2025. Matokeo yake watu wengi wameachwa

    Inahuzunisha sana ila kwakuwa hili jambo limewaathiri wengi na limepigiwa kelele ngoja tusubiri majibu ya serikali pengine watafanya kitu chema
  8. Trubetzkoy

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Chadema, anzisheni shule ya katiba na sheria kwenye mitandao ya kijamii

    Salama humu ndani? Ushauri wa bure kwa ndugu zangu wa people's power. Ni ukweli usiopingika kuwa miongoni mwa mambo yanayokwamisha vuguvugu na harakati za kupigania mageuzi nchini ni kwamba watanzania walio wengi hawajitambui na hata wale wachache wanaojitambua bado hawatambui haki na wajibu...
  9. Trubetzkoy

    JamiiForums Tanzania CCM mayday mayday

    Hivi hayo malori ni kwamba watu huwa wanalazimishwa kupanda humo?
  10. Trubetzkoy

    JamiiForums Tanzania Tanzania yakanusha kuwanyanyasa Kingono Wanaharakati Boniface Mwangi na Agather Atuhaire

    Wewe bila shaka eidha ni mchawi au umezoea kufanyiwa hayo mambo ya kisodoma
Back
Top Bottom