Recent content by Troojan

  1. Troojan

    JamiiForums Tanzania Vodacom-MPESA inatukela wateja

    Vodacom mmekua na kaupuuzi sana kwenye application yenu ya mpesa...yaaan mtu unaweza kutuma pesa kabisa kwa Mpesa Application ikakwambia 'Apology muhamala umeshinfikana . Sasa ukisema ngoja nitume kwa tigopesa au mitandao mingine muamala unaenda..baadae inakuja sms kutoka MPESA kuconfirm kua...
  2. Troojan

    JamiiForums Tanzania Ukweli ni kwamba Mbagala ina ardhi nzuri kuliko Bunju, Tegeta na Msasani

    Ila ndio wilaya yenye watu wenye furaha kuliko wilaya zoote
  3. Troojan

    JamiiForums Tanzania Katibu katibua au katibuliwa?

    Kile kitoto cha mtumishi ujue kinafanana na katibu sana hahah
  4. Troojan

    JamiiForums Tanzania Taratibu gani nitumie kuishtaki mamlaka ya maji kwa kunibambikia bili ya maji

    Wanabody nakuja kwenu kuomba msaada wa kisheria ni jinsi gani naweza kuishtaki mamlaka ya maji kwa kunibambikizia bili uku ikishinikiza nilipe pasipo majadala uki wakitishia kunikatia maji. Bili imekuja mara 4 ya bili ya awali na hakuna kilichoongezeka.
  5. Troojan

    JamiiForums Tanzania Nasikia Mnazi Mmoja kuna wataalamu wa masikio

    ndnxa mhimbili..wapo maspecialist wengi na watakuanzishia clinic...wahi kabla haki haijawa tete sana..pole sana kwa izo changamoto..mimi napambana nazo
  6. Troojan

    JamiiForums Tanzania Naomba mwongozo kwa vijana waliomaliza chuo na kutakiwa kujiunga JKT

    najaribi kuwaza hao walioenda uko na kirudi wanamaajabu gani??hebu mwenye uzoefu anisaidie
  7. Troojan

    JamiiForums Tanzania Naomba mwongozo kwa vijana waliomaliza chuo na kutakiwa kujiunga JKT

    yaaan angekua wa kiume ningejitoa muhanga.ila huyu aiseee hapana..staki kukaa miezi 3 sina amani ya moyo.
  8. Troojan

    JamiiForums Tanzania Naomba mwongozo kwa vijana waliomaliza chuo na kutakiwa kujiunga JKT

    Wanabodi: Binti yangu amemaliza form 6, sasa linakuja suala la kwenda JKT aisee binafsi yangu siitaji bint yangu aende uko kabisaa maana roho yangu inakataa sasa je asipokwenda kuna madhara gani unayoweza yapata uko baadae??na omba mje kwa kunishauri..ila sitaki aende uko. Ninayo yaona kwa wale...
  9. Troojan

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa napuuza 'Chuma Ulete', leo yamenikuta

    kuna watu wanaozindika biashara zao kibabe kama muhindi na mwarabu.??yaaan wewe unavunja nazi usiku usionekani ila muhindi anavunja nazi kweupeeee na kufanya matambiko yake...wanajikinga sana wale na haya mambo
  10. Troojan

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa napuuza 'Chuma Ulete', leo yamenikuta

    mimi nishapigwa Tanga stand 50000 jioni aiseee.yaaan mtu aliniomba chenji ya buku..si nikampa nikaiweka kwa wallet...daah nafika home nimpe wife ahifadhi naikuta ile buku tu....yaaan skuamini...
  11. Troojan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

    mzee unataka kukikana chama cha CHAPUTA??
  12. Troojan

    JamiiForums Tanzania Tulioishi na kusomea Tanga na viunga vyake kwa ujumla

    ipo kma mpya yaaan
  13. Troojan

    JamiiForums Tanzania Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

    nilichogundua humu...kanda ya ziwa inaongoza kwa haya mambo ya kishirikina...yaaan shuhuda zote ni kigoma ujiji na mwanza bariadii[emoji846][emoji846]
  14. Troojan

    JamiiForums Tanzania Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

    daaah haya maisha
Back
Top Bottom