Vodacom mmekua na kaupuuzi sana kwenye application yenu ya mpesa...yaaan mtu unaweza kutuma pesa kabisa kwa Mpesa Application ikakwambia 'Apology muhamala umeshinfikana . Sasa ukisema ngoja nitume kwa tigopesa au mitandao mingine muamala unaenda..baadae inakuja sms kutoka MPESA kuconfirm kua...
Wanabody nakuja kwenu kuomba msaada wa kisheria ni jinsi gani naweza kuishtaki mamlaka ya maji kwa kunibambikizia bili uku ikishinikiza nilipe pasipo majadala uki wakitishia kunikatia maji.
Bili imekuja mara 4 ya bili ya awali na hakuna kilichoongezeka.
ndnxa mhimbili..wapo maspecialist wengi na watakuanzishia clinic...wahi kabla haki haijawa tete sana..pole sana kwa izo changamoto..mimi napambana nazo
Wanabodi: Binti yangu amemaliza form 6, sasa linakuja suala la kwenda JKT aisee binafsi yangu siitaji bint yangu aende uko kabisaa maana roho yangu inakataa sasa je asipokwenda kuna madhara gani unayoweza yapata uko baadae??na omba mje kwa kunishauri..ila sitaki aende uko.
Ninayo yaona kwa wale...
kuna watu wanaozindika biashara zao kibabe kama muhindi na mwarabu.??yaaan wewe unavunja nazi usiku usionekani ila muhindi anavunja nazi kweupeeee na kufanya matambiko yake...wanajikinga sana wale na haya mambo
mimi nishapigwa Tanga stand 50000 jioni aiseee.yaaan mtu aliniomba chenji ya buku..si nikampa nikaiweka kwa wallet...daah nafika home nimpe wife ahifadhi naikuta ile buku tu....yaaan skuamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.