Recent content by Troll JF

  1. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu , alitudanganya kapunguza Misafara

    Kuna viongozi protocol haziruhusu Kuwaweka CDF, IGP, CGP, VP, Speaker, CJ, CS , DGTISS kwenye basi moja its not practicable pia kuna RC RAS , DED na DC’s DAS wa Mkoa husika ndiyo maana msululu ni mrefu.
  2. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Watanzania 90 wakamatwa Afrika Kusini

    CHADEMA wapo 89😁😁😁😁
  3. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Kate, mke wa Ferdinand aonja Kaa la moto huko Instagram

    Mafwele haitaji hata kwenda hapo Uganda au Kenya we unampiga Ban Marekani halafu mnakuja majukwani humu mnashangilia si ufala huo?
  4. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Kate, mke wa Ferdinand aonja Kaa la moto huko Instagram

    Inasaidia nini sasa?
  5. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Kutokana na kuzorota kwa hali ya usalama Nchini Tanzania, ni dhahiri sasa upo umuhimu wa kila mwananchi kujilinda KWA NJIA YOYOTE

    Mama yangu atekwe kwa sababu gani? Hatukani mtu siyo mwanaharakati Uchwara!
  6. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Kushiriki Mkutano wa Nishati ya Nyuklia, Rwanda

    Daktari Samia Suluhu Hassani ameondoka nchini kwenda kujadili na Viongozi wenzake wa Afrika mashariki kuhusu uvumbuzi wa Nishati ya Nyukilia. Video Courtesy: State House instagram Account
  7. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Ile FBI tulio ahidiwa kwenye kampeni itaundwa imeishia wapi!?

    Umechanginyikiwa si FBI naona ni The NBI (National Bureau Of Investigation) au NIS (National Investigation Service) kila kitu kimekamilika soon sheria inaenda Bungeni.
  8. Troll JF

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Hii ndo tume mliokua mnalilia Tume ya kijaji ndo hiyo ina Majaji watupu
  9. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Kabla hujashabikia chama — mambo 7 muhimu ya kujua kuhusu itikadi

    Mawakala wa mabeberu
  10. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Kofia(boshori) zibauso achia macho zinazoanza kushamiri mitaani sio nzuri kiusalama

    Nimeona zinauzwa 10,000 unabakisha macho tuu ni kuzuia importation yake
  11. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Dangote kiwanda cha Kuchakata mafuta (Refinery) kutoa IPO katika masoko ya hisa Africa.

    Nyinyi wapuuzi ku argue kwa logic hamuwezi mnachojua ni matusi son of the bitch!
  12. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Dangote: kiwanda tunachotaka kina uwezo wa kuzalisha pipa 650,000 kwa siku, bado timu ya Wataalamu inafanya utafiti wapi patafaa

    Means ku import kama anayoimport crude oil kutoka marekani kuhudumia kiwanda kilichopo Nigeria
  13. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Kwa nyomi hii, hata mimi lazima nitishie kukifuta ili bosi aone nafanya kazi

    Term inaisha 2030 nyinyi fanyeni Amsha Amsha ila Samia yuko Ikulu na tunatamba naye
Back
Top Bottom