Vijana wa CHADEMA mlimjaza upepo Lissu akajaa sasa maumivu ya kuwekwa kabatini yanauma anatoa milio nyinyi mnakimbilia kwenye Keyboard na Kutukana Serikali Tundu Lissu ana Kesi na anatakiwa kutulia gerezani mpaka pale itakapokwisha kwanza majaji
Pia wana schedule ya kusikiliza mashauri Mengine...
Troll JF pamoja na Rais wa Jamuhuri Ya Muungano Tanzania tunatoa pole kwa wana Rungwe na Mwenyezimungu awaponye haraka majeruhi wa tukio hilo na Mvua kubwa.
Iko hivi Esim unaweza kuziweka hadi nane ila kwenye kufanya kazi zinafanya kazi mbili tuu unakua na Option mwenyewe uzime ipi na Uwashe ipi pia unayo maamuzi hata ya kutumia Line moja ukishazisajili jukumu ni lako uiwashe ipi au uizime ipi kazi inabaki kwako mimi hata ziko nne ila nimeiwasha...
Sina Mda wa Kujadili na Vilaza hivi hizo pesa za nauli za Wahadhiri pamoja na Allowance za Kusahihisha mitihani zitatoka wapi kwa Uzembe uliofanya wewe Kilaza??? Pia wahadhiri wanakatisha Likizo zao ili wakusaidie wewe kilaza unaona Chuo kinakosea?
Kuepukana na Hilo someni kwa bidii na epukeni...
Moderators Heading ya Uzi huu ni kumdharau na Kumtweza mtu aliyekua mtumishi wa umma na Mwanasiasa maarufu sijui kwanini mmeacha heading hii mpaka sasa
@Boqin
@Moderator
@Active
@Reviser
@Zenora
@celix
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.