Recent content by Troll JF

  1. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba atastaafu lini?

    Stephen Wassira kazaliwa mwaka 1945 dogo janja kabisa.
  2. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba atastaafu lini?

    Kumbu kumbu za Wikipedia zinaonesha Jaji Joseph Sinde Warioba alizaliwa mwaka 1940, kwa sasa ana miaka 86, lakini amekua active kwenye siasa kama kijana aliyoko katika umri wa 30’s Mzee huyu pia amekaidi ushauri wa Madaktari ya kupata mda mwingi wa Kupumzika na badala yake amechagua kuwa Active...
  3. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Dorothy Semu: Jaji Warioba anaendelea vizuri

    May be Just may be
  4. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Free tips daily 1.50 odds and 2 odds

    Kwenye kutoa pesa utata sijui hata wanaoitumia wanatoaje pesa zao
  5. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Free tips daily 1.50 odds and 2 odds

    Ndiyo
  6. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Free tips daily 1.50 odds and 2 odds

    1XBet ni Matapeli
  7. Troll JF

    JamiiForums Tanzania KERO CRDB wanaendelea kunikata deni ambapo nilishamaliza kulilipa, nifanyeje?

    Mchongo wa kupata pesa huo kama una SIM banking Tafuta Bank statement taangu ulivyokopa mpaka leo watakuletea Email ifungue then print zile transaction hadi siku waliokata pesa yako baada ya hapo Kaa Mezani andika Demand Note kwenda CRDB wakulipe 200m kama general damages na usumbufu...
  8. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Nauza vitabu (baba tajiri, baba maskini, mtu tajiri zaidi babeli)softcopy pdf

    Pumbavu ulipata wapi ruhusa ya kutafsiri kitabu cha Rich dad poor dad?
  9. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mastermind wa mauaji kapigwa pin kuingia Ulaya

    Tomato 🍅
  10. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Washauri ujinga nao watatembeza offence mpaka watakuja tena majukwani kulalamika si unalazimisha wafuate Misahafu ya Kodi inavyotaka?😀😀😀😀
  11. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Victoria Makumbusho nyuma ya Tanzanite house na Uporoto st

    At least una bei realistic japo ni SQM 260
  12. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Maafisa kazeni wajinga wajinga wanataka kuwaaribia pigeni Offence za maana mtu mpaka apate homa😂😂
  13. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Lissu ana somo la kujifunza kutoka kwa María Corina Machado wa Venezuela

    Lissu basha wa Maria Sarungi
  14. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Hakuna Afisa yoyote anayeomba Rushwa wanaotoa Rushwa ni Walipakodi wenyewe tena baada ya ku default pale ndipo wanamuomba ofisa awapunguzie na kama wakikataa wakasimamia mambo jinsi yalivyo basi kungekua na Vilio vingi narudia walipakodi ndiyo huanza ku approach maafisa ili wapate taafifu kwenye...
Back
Top Bottom