Kumbu kumbu za Wikipedia zinaonesha Jaji Joseph Sinde Warioba alizaliwa mwaka 1940, kwa sasa ana miaka 86, lakini amekua active kwenye siasa kama kijana aliyoko katika umri wa 30’s Mzee huyu pia amekaidi ushauri wa Madaktari ya kupata mda mwingi wa Kupumzika na badala yake amechagua kuwa Active...
Mchongo wa kupata pesa huo kama una SIM banking Tafuta Bank statement taangu ulivyokopa mpaka leo watakuletea Email ifungue then print zile transaction hadi siku waliokata pesa yako baada ya hapo
Kaa Mezani andika Demand Note kwenda CRDB wakulipe 200m kama general damages na usumbufu...
Hakuna Afisa yoyote anayeomba Rushwa wanaotoa Rushwa ni Walipakodi wenyewe tena baada ya ku default pale ndipo wanamuomba ofisa awapunguzie na kama wakikataa wakasimamia mambo jinsi yalivyo basi kungekua na Vilio vingi narudia walipakodi ndiyo huanza ku approach maafisa ili wapate taafifu kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.