Recent content by Troll JF

  1. Troll JF

    Vijana wa CHADEMA oneni aibu mmeshindwa kumpambania Lissu

    Mpaka awe anatetea upumbavu wa CHADEMA ndo anakua great Thinker?
  2. Troll JF

    Vijana wa CHADEMA oneni aibu mmeshindwa kumpambania Lissu

    Vijana wa CHADEMA mlimjaza upepo Lissu akajaa sasa maumivu ya kuwekwa kabatini yanauma anatoa milio nyinyi mnakimbilia kwenye Keyboard na Kutukana Serikali Tundu Lissu ana Kesi na anatakiwa kutulia gerezani mpaka pale itakapokwisha kwanza majaji Pia wana schedule ya kusikiliza mashauri Mengine...
  3. Troll JF

    Ubinafsi na tamaa chanzo cha mgogoro ndani ya CHADEMA

    Chama kimekufa hicho!
  4. Troll JF

    Wakili Marijani: Mnyika ameupotosha Umma, shauri la mgawanyo wa mali wa CHADEMA

    Mmeshindwa kuwapambania?😁
  5. Troll JF

    Wakili Marijani: Mnyika ameupotosha Umma, shauri la mgawanyo wa mali wa CHADEMA

    Kwa hiyo Mnyika ni tapeli apuuzwe???
  6. Troll JF

    Rungwe: 18 wafariki kwa maporomoko

    Troll JF pamoja na Rais wa Jamuhuri Ya Muungano Tanzania tunatoa pole kwa wana Rungwe na Mwenyezimungu awaponye haraka majeruhi wa tukio hilo na Mvua kubwa.
  7. Troll JF

    Bobi Wine leaves the country for a few weeks

    Huyo Muhuni hajawa Exiled aliondoka mwenyewe nchini kwake
  8. Troll JF

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Iko hivi Esim unaweza kuziweka hadi nane ila kwenye kufanya kazi zinafanya kazi mbili tuu unakua na Option mwenyewe uzime ipi na Uwashe ipi pia unayo maamuzi hata ya kutumia Line moja ukishazisajili jukumu ni lako uiwashe ipi au uizime ipi kazi inabaki kwako mimi hata ziko nne ila nimeiwasha...
  9. Troll JF

    Wanafunzi wa UDOM mpo chuo kikuu hampo secondary acheni kuandika andika mitandaoni mnatia kinyaa sana

    Sina Mda wa Kujadili na Vilaza hivi hizo pesa za nauli za Wahadhiri pamoja na Allowance za Kusahihisha mitihani zitatoka wapi kwa Uzembe uliofanya wewe Kilaza??? Pia wahadhiri wanakatisha Likizo zao ili wakusaidie wewe kilaza unaona Chuo kinakosea? Kuepukana na Hilo someni kwa bidii na epukeni...
  10. Troll JF

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Moderators Heading ya Uzi huu ni kumdharau na Kumtweza mtu aliyekua mtumishi wa umma na Mwanasiasa maarufu sijui kwanini mmeacha heading hii mpaka sasa @Boqin @Moderator @Active @Reviser @Zenora @celix
  11. Troll JF

    Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Mimi ninavyokuja kwenye biashara yako na kunichukua video bila ridhaa yangu ni sahihi wengine wanafunga mpaka guest
Back
Top Bottom