Recent content by Trira

  1. T

    This will be my biggest risk! Kilimo cha alizeti Singida

    Nasubiri sana kujifunza kutoka kwako mkuu kwa sababu unawakilisha vijana wengi wa pambanaji ambao wapo kwenye harakati nyingine na wanahitaji kujaribu kilimo
  2. T

    Naombeni msaada detailed kilimo cha alizeti

    Acha kupotosha watu nimekuona kwenye post hii ya pili unasema mara mtu alilima heka moja huku unasema mbili kama hujawahi kulima acha wanaotaka kujaribu wapate ushauri... hii tabia haiwezi kukusaidia kitu.
  3. T

    This will be my biggest risk! Kilimo cha alizeti Singida

    Kaka nimeshangaa kuona na wewe ukisubiri mrejesho hapa wakati mwaka juzi nilisoma thread yako ukisema unalima heka 50 na mpaka leo hujaleta mrejesho... mpaka tunaogopa sasa maana kila anaeingia kwenye hiki kilimo harudi na mrejesho nini tatizo tunahitaji kujifunza toka kwenu.
Back
Top Bottom