Nasubiri sana kujifunza kutoka kwako mkuu kwa sababu unawakilisha vijana wengi wa pambanaji ambao wapo kwenye harakati nyingine na wanahitaji kujaribu kilimo
Acha kupotosha watu nimekuona kwenye post hii ya pili unasema mara mtu alilima heka moja huku unasema mbili kama hujawahi kulima acha wanaotaka kujaribu wapate ushauri... hii tabia haiwezi kukusaidia kitu.
Kaka nimeshangaa kuona na wewe ukisubiri mrejesho hapa wakati mwaka juzi nilisoma thread yako ukisema unalima heka 50 na mpaka leo hujaleta mrejesho... mpaka tunaogopa sasa maana kila anaeingia kwenye hiki kilimo harudi na mrejesho nini tatizo tunahitaji kujifunza toka kwenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.