kaka nimetoka kuchek sasa hivi kitu hakija ingia mbona.mi first year niko humanities ila jamaa wa education wanasema tayari wao,au wanatoa kwa awamu kila college..?
kwani kikawaida ukisha sign kwa loan officer inachukua muda gani kuingiziwa boom,na je mnataarifiwa kuwa mmeshawekewa au ndo kujiongeza mwenyewe kuchek account?
bado ndugu hujanijibu swali langu,unajua kuna jamaa yangu amechaguliwa coz ambayo kwenye loan priority imeandikwa NON-PRIORITY kwenye tcu guide book,alafu kwenye profile ya kwenye amount loan kawekewa 1.hapo iko vip.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.