duu apo uliharibu kufungua account ingine yalikua matumizi mabaya ya hela ulichotakiwa kuwapigia afu pale paale angeweka mamb vizuri na angekwambia weka password 1 mpaka 5
mfumo wa udom walichagua koz ingine ilaa baada ya kutumiwa code na tcu kuthibitisha nikakaa siku mojaa nikaingia kwenye account angu nikakuta wameni badilishia kozi wameweka kozi inginee nikiwapigia simu wananambiaa njoo ivo ivo utakuja kufanya transfer
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.