nilianzisha mahusiano na mdada mwenye mtoto mmoja na aitelekezwa nikawa namjali sana huduma kila siku baada ya miezi 2 nikaomba penzi...we akasema sawa siku ya mechi kasema nitume hele ya mtu wa kubaki na mtoto nikatuma 20 mpaka leo siku ya 5 yupo kimya na mimi sijamtafuta sasa siku ajichaganye...
We ni mjinga kula hela kwa wakuu sio suala geni....kuishi na watoto wao si suala geni ila kelele zimekuja wanakula huku wanatuua huku wanatishia haki za kuishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.