Recent content by tripof

  1. T

    Tafakuri:Mageuzi makubwa yamefanyika kwenye sheria za uchaguzi, je kilichotokea 2024 kilisababishwa na nini?

    Hali iliyojitokeza 2024 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kupelekea kuwepo na malalamiko mengi sawa na yale ya2019/2020 ilisababishwa na nini? Maana haya yametokea katikati ya maboresho yaliyofanyika ya kisheria na kikanuni kuhusu uchaguzi. Nakubaliana na Mufti wa Bakwata kuwa tutumie akili...
  2. T

    Lissu amefeli, CHADEMA ipo vipande vipande ameshindwa kuiunganisha

    Kwani Mbowe angeendelea na CDM mpaka lini miaka 30 Hiyo siyo Demokrasia, wamekitoa kilichosemwa ni chagadema.kililofanyika chadema ni mfano mwema waungane sasa wakijenge chama hakuna jinsi bahati nzuri wengi wamerejea ie Sugu, Mungai etc ambao bado nao wafanye hivyo kuvunja makundi.
  3. T

    PreGE2025 Tundu lisu na CHADEMA yake wasipokuwa makini wanaenda kuandika historia mbaya

    Ni kazi ya Tundu Lissu na Heche na kamati kuu kupigana kufa na kupona kuvunja makundi hayana maslahi tena kwa chama chenu. kiongozi mzuri hana kundi.
  4. T

    Ndugu zangu WAISLAM, Mzee Kibao wa CHADEMA aliuliwa waziwazi ,Msikubali Kíongozi wa Dini awaimbishe Porojo za Amani bila Haki

    Kazi kubwa kwa nchi yetu kwa sasa ni kuirejesha haki ili tuwe na Amani endelevu.
  5. T

    Mufti huwezi kuongelea amani halafu huongelei haki ni uchawa!

    AMANI NI TUNDA LA HAKI. VITABU VITAKATIFU VIKO WAZI KWA HILO. TATIZO LILILOPO NI KUTENGANISHA MAKUSUDI HIVI VITU VIWILI ITATUGHARIMU.
  6. T

    CHADEMA mnawalea sana wanachama wenu wanaokengeuka, igeni CCM

    Mwanachama atafukuzwa kwa kufuata demokrasia na haki ya msingi au ya asili kuchunguza suala lake na kumhoji kwa mujibu wa kisheria.
  7. T

    PreGE2025 CHADEMA mnapoteza Mamilioni ya FEDHA kwenye mikutano ya Hadhara, anzeni kupitisha Makapu mikutanoni Mvune Cash !!

    Namba za kuchangia ziandikwe kwenye mabango au poster zilizopo kwenye mkutano pamoja na kuchangia cash ya moja kwa moja. CDM wawe na short term and Long term strategy
  8. T

    No Reform no Election ni kama njia ya kuwapa ushindi mkubwa CCM

    Dhana ya No Reform No Election ina eleweka na watu wote, changamoto wananchi wana "role" au wajibu gani kwenye mchakato wa kuzuia uchaguzi, NGO,Viongozi wa Dini,Vyombo vya dola, Watumishi, Wanachama wa chadema, vyama vingine vya siasa makini wafanya Biashara wanafunzi vyuo vikuu nk. Mipango...
  9. T

    PreGE2025 NCCR-Mageuzi: Tunayo imani kubwa na mchakato wa uchaguzi kwa sababu tayari mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi yameshafanyika

    Kwa maboresho haya ya kisheria mbona uchaguzi wa 2024 umekuwa hivyo. NCCR hamzioni kweli kasoro !DADEKI
  10. T

    PreGE2025 NCCR na vyama vingine wana mkakati gani pamoja na kushiriki uchaguzi kwenye mazingira yaleyale ya 2019,2020 na 2024

    Mimi ni muumini wa demokrasia na uchaguzi huru na haki, na ni mwana mageuzi kutokea NCCR sasa naomba nifahamishwe mikakati iliyopo ya kukabiliana na changamoto za sasa za uchaguzi iwapo watashiriki. Mimi ninaamini iwapo kama hapatakuwa na mifumo na utashi wa kisiasa CCM lazima ichukue kata...
  11. T

    PreGE2025 Lissu! No reforms no election ni sawa lakini zingatia haya

    No Reform No Election and its impact on eleminating political &social economic problems if successful. what is it in content. Hotuba ya Zitto na Heche zinagusia angalau kidogo kama lublicants.
  12. T

    Nafasi ya Mpishi

    Hoteli nyota 3 Ilemela Mwanza inatafuta wapishi 2 mmoja mwanamke na mmoja mwanamme. piga simu 0739290084 kwa maelezo zaidi ya kina.
  13. T

    PreGE2025 Heche John: Aliyempiga Siglada (BAWACHA) achukuliwe hatua za kisheria

    Kamati ya Maridhiano na Ukweli Fullstop
  14. T

    PreGE2025 Dawa ya Uchaguzi Huru na Haki ni nini hasa? Nisaidieni

    Tumefika mahali wengine tumechanganyikwa na dhana ya No Reform No election, Mimi naomba wachambuzi wa mambo mnisaidie. Ukiangalia ni kweli uchaguzi wa 2019, 2020 ulikuwa mbaya haijawahi kutokea na Serikali akiwemo Rais alikiri hivyo, lakini mwaka 2024 hali ikajirudia na hatimaye CHADEMA na ACT...
  15. T

    Tafakuri: Kuhusu No Reforms No Election, CHADEMA bado wana nafasi ya kuzungumza na Rais

    No Reform No Election: Tafakuri ya Mtanziko wa Kisiasa Mimi ni mzalendo na mchambuzi wa mambo ninatafakari dhana ya No Reform No Election kwa kina, ninapata tatizo kuelewa Chadema inataka nini hasa. Ni kweli upinzani, ikiwemo Chadema, zimepata maumivu sana kwa uchaguzi wa 2019/2020 na hali...
Back
Top Bottom