Mkuu Malyenge,
Kwa kuwa tunazungumza kwa muktadha wa Biblia, naomba nikupe nukuu hii kutoka Matendo 10.
Inaelezea vizuri na kujibu vyema swali lako.
9 Hata siku ya pili, walipokuwa wakisafiri na kuukaribia mji, Petro alipanda juu darini, kwenda kuomba, yapata saa sita ya mchana;
10 akaumwa...