Mkuu walisha ama pale wanapokaa, nimejaribu kupata access na watu waliokuwa wanakaa hapo mwenge sijapata, maana mimi nilikutana nae morogoro, ila najua alikuwa anakaa mwenge kota za jeshi.
Habarini ndugu zangu, poleni na majuumu, namtafuta rafiki yangu kipenzi anaitwa JOSHUA RUSHINGWA (NDALU), nilipotezana naye mwaka 2009, yeye alisoma shule ya Sekondari KAMBANGWA, na alikuwa anaishi Mwenge magorofa ya jeshi karibu na mlalakuwa, ukiwa unatokea Sinza Afrikasana ni baada ya kota za...
mkuu unaenda na watoto kwenye mambo ya DNA nini, maana naskia DNA ya kweli inapatikana NAIROBI KENYA, nenda kathibitishe mkuu maana awa wanawake uwa hawaeleweki kabisa siku izi
naona shida zako zote unataka kuzitatua kupitia udalali wa nyumba, utakuta mwenyewe anataka milion30, dalali wa kwanza kaongeza milion 20 (jumla mlioni 55), dalali wa pili kaweka milion 20 (jumla milion 75), wewe ukaona uwekepo milion 10, jumla 85........duh kweli dar mji mzito sana aiseeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.