Recent content by Trevor Belmont

  1. Trevor Belmont

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    nili peleka vyeti vyangu vyote nika jieleza kwamba nime pita jkt ila sikuchukuaga Cheti MP wa pale getin makao makuu aka sema Una nidanganya eee nika mjibu hapana aka itwa afande mwingine Nika pelekwa kwenye kichumba Kwa ndani kidogo waka nikaba tena kwamba sema ukweli nika salimu amri Nika...
  2. Trevor Belmont

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    mrejesho kuhusu maombi ya kujiunga na JWTZ nime tupiliwa mbali😓😓😓
  3. Trevor Belmont

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    asante sana Kaka nime apply Kwa email Yao pia kuna MTU Dodoma nime mtumia vyeti nime muomba anipelekee Kwa mkono makao yao makuu msalato Kwa neema zake Mungu nikipata nitakuja kushuhudia hapa🙏🏾🙏🏾
  4. Trevor Belmont

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    asante mkuu ni bachelor ya shipping and logistics management
  5. Trevor Belmont

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    vip Kwa wale ambao hawana Cheti cha jkt na wanakata kujiunga na jeshi hivi ina wezekana Yan Mim nipo mtaani natafuta Sana vibarua Ila ime kuwa ngumu wakubwa so nime waza niapply nafasi hio ya jwtz lakin Cheti Cha jkt sina Nina form 4,6 na bachelor ya shipping ki umri nina miaka 23 now ..vip...
  6. Trevor Belmont

    Wanaotafuta Utajiri wa Punje za Mahindi na Jogoo, Imekaaje Hii?

    😁😁😆😆😆***** Una kufa hapo hapo
  7. Trevor Belmont

    Naomba connection ya kazi

    Habarin Wana JF heshima yenu wote 🙏🏾 natumaini wote ni wazima kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima anao tujaalia kila siku itwapo leo. Ndugu zangu mbele yenu ni kijana mtanzania nina ishi dar es salaam nime hitimu bachelor degree in shipping and logistics management mwaka 2022 Nina...
  8. Trevor Belmont

    Natafuta ajira ndani na nje ya Tanzania, nina shahada na uzoefu na kazi za bandari

    nilienda ulizia waka sema nisubir Nita itwa lakin mpaka now miezi 3 Ime pita no call or anything
  9. Trevor Belmont

    Natafuta ajira ndani na nje ya Tanzania, nina shahada na uzoefu na kazi za bandari

    yeah mfano kwenye export ndio at least kulikuwa na vi hela maana tulikuwa tuna pokea mizigo ya kwenda nje ya tz na pale ndio tulikuwa tuna poozwa na ma agent wa nje
  10. Trevor Belmont

    Natafuta ajira ndani na nje ya Tanzania, nina shahada na uzoefu na kazi za bandari

    Amen brigehr...nilivyo Anza chuo 2019 mwaka 2020 nilienda bandalin Mim na rafik zangu kujitolea ili tupate uzoefu wa kazi huku tuna soma so nilikuwa naenda napiga kazi thena narudi chuo maana geti la TPA na chuo Cheri dmi pale ni pua na mdomo ni karibu sana
  11. Trevor Belmont

    Natafuta ajira ndani na nje ya Tanzania, nina shahada na uzoefu na kazi za bandari

    Habarin Wana JF heshima yenu wote 🙏🏾 natumaini wote ni wazima kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima anao tujaalia kila siku itwapo Leo. Ndugu zangu mbele yenu ni kijana mtanzania nina ishi dar es salaam nime hitimu bachelor degree in shipping and logistics management mwaka 2022 Nina...
  12. Trevor Belmont

    Natafuta ajira ndani na nje ya Tanzania, nina shahada na uzoefu na kazi za bandari

    Habarin Wana JF heshima yenu wote 🙏🏾 natumaini wote ni wazima kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima anao tujaalia kila siku itwapo Leo.... Ndugu zangu mbele yenu ni kijana mtanzania nina ishi dar es salaam nime hitimu bachelor degree in shipping and logistics management mwaka 2022 Nina...
  13. Trevor Belmont

    Hatimisho: Nimefika salama Marekani

    Kaka type connection ulipataje kazi huko marekani application ya H-1B visa ukifanyaje Hadi ukatoboa na uka fika us please type hints Mim mwenyewe nahitaji kufika huko
Back
Top Bottom