Kelele zimekuwa nyingi mitandaoni na International communities zimeanza Ku voice up kuhusu hii issue ya accounts za Activists kupigwa Chini,
Meta ajiandae Kwa Case mana issue imesha Anza kwenda Viral
Ila pia kesi ya Mange ni Revidiscm ambayo kama meta Kwao wako sahihi kuwa T & C were not...
Larry Madowo Leo asubuhi aliwaandikia Meta Inc email kuulizia swala la Account za Activists wawili kuwa restricted na Majibu yake yalikuwa ivi
Account ya Maria Sarungi imefungwa kwasababu authorities za Tanzania ziliwandikia Meta official message kuwaomba wafungie hio account na meta wakafanya...
TEC kama reputable institution naamini kabisa Milango ya kuaccess taaasisi ya hio ya Juu kabisa Iko wazi muda mwingi,
Izi Kelele zimekuwa nyingi sana wakati huu mpaka inatupa mashaka kuwa Hawa watu wamebanwa au shida ni nini?
TEC Wanahoja shida yao ni kutaka kujiona na wao Wana mamlaka au Influence, Waheshimu Presidency basi
Urais ni taaasisi wanaenda Makanisani kwasababu nchi ni tulivu
Watu dizaini ya Wasira wamejawa na Viburi sana na ndio wanafanya Vijana waone Hawa wazee kwanini hawapumziki kupisha wengine Wana uchu na madaraka as if wao ni familia za Wafalme.
Kitu msichotaka Kukubaliana nacho ni kuwa nyakati na watu wanabadilika, Leo wasira aliyewahi Kuwa RC wakati wa zama za Nyerere atawaeleza Nini Gen z sasa?
Mkuu with all respect, Naamini hii order imekuwa approved tu may be Bila general Concern what might happen after, Kama umekuwa kwenye leadership najua utanielewa let the CinC punish those who advised her, Kwasababu any attempt to remove her it will bring more Chaos the best options nadhani Kwa...
It's highly time now IGP na Other police Senior officials especially wale walio trend kabla ya Uchaguzi kuchukuliwa hatua Kali sana, Hao wawe Mbuzi wa kafara ili kutibu huu mpasuko wa taifa
However brings a plan, Shoot to kill alikosea sana naamini Pressure Kwa Viongozi wetu walio approve ilikuwa juu sana lakini the guy who proposed that way ametengenisha sana taifa
The best way apa Baadhi ya Viongozi wa Kipolisi watolewe kafara Kwa kukamatwa na Sheria iwabane for a while ili kaka...
IGP ana report Kwa Rais na Ni kazi ya Urais(Presidency) kucheck kama Hao top Senior officials ni watii Kwa mamlaka, Hakuna Kitu atabadilsha uyo kama Mifumo yetu Kwa sasa na taaasisi zinaburuzwa, Nina Uhakika hata mtu kama Msigwa ile sio akili Lakini atafanyaje sasa na ugali anataka?
Pia Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.