Unaona watu ni mataahira kama wewe.? Kwamba watanzania walienda fukuzuwa boda.? 😂😂😂. Unajua boda inafanyaje kazi.? Kwahiyo ukiona watu na mabegi tu wakiwa boda basi ndio wamefukuzwa .? Stupid.
Kwani ni uongo kama mnachojaribu kutueleza hapa ni uongo.? Kwamba wabonge waliorudishwa kutoka kenya wameonekana na mabegi yao katika border ya kE na TZ .? 😂😂😂 stupid kunyans
Nje kipo lakini kipo mbali kidogo mbele kidogo ya kituo cha mafuta cha puma, hili wanajenga ndani kabisa, kuna eneo la parking upande wa terminal 3 nadhani wanalibadilisha matumizi kuwa BRT terminal.
Pale airport JNI terminal 3 kwenye parking lot wanatengeneza BRT terminal, nilipiga hii picha last 2 weeks halafu nikasahau kuipost. 👇🏾watu watashuka terminal 3 watapanda BRT buses all the way to either BW Mkapa stadium, SGR terminal au city center tu kwaajili ya shughuli zingine.
Tafuta videos za Bertin uone hiyo drive kutokea airport to city center. In fact ni ya unyama sana kwasababu all the way ni show rooms za magari, retail centers, industries and a lot of business complexes.
Imagine hili eneo wakimaliza kufanya landscaping litafananaje .? Yoo. Arusha stadium is indeed very beautiful. The most beautiful stadium in the region. 👇🏾https://www.instagram.com/reel/DdJoz1tIhFU/?stkn=eXhuc3k4eWlsdjIw.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.