Recent content by TRAT

  1. T

    GE2025 CCM inahitaji vyama shirika vya upinzani kuliko chochote. Tishieni kujitoa kuwa hamuwezi mudu tena ghalama za kampeni. Mtanishukuru

    CCM wana 100b na zaidi. Hawajazipeleka mikoani kusaidia kampeni za wabunge. Zinatumika kwenye timu ya Nchimbi na Samia tu. Kupewa magari, mafuta na posho za madereva haitoshi si unaona hata majukwa ya mbao yamewashinda. Tengeneze umoja wa vyama vya upinzani vinavyoshiriki uchaguzi. Itisheni...
  2. T

    KERO GE2025 Rais Samia ni mgombea kama wengine. Watumishi na wanafunzi si mali ya CCM. TUGHE kemeeni barua za vitisho za waajiri juu ya wasiohudhuria kampeni CCM

    Wanahitaji mahudhurio makubwa kwenye mikutano ili zile kura milioni 37 za mfumo wa kuunganisha INEC, NIDA na CCM zisishitukiwe.
  3. T

    Sie wakulima mtusaidie kuelewa, hivi bunge likivunjwa mawaziri wanaendelea na uwaziri? Nimemwona Bashe 88 anapiga kazi.

    Huku kijijini kwetu Masalawe Kongwa nilikotoka kuleta mhogo mkubwa kuliko yote hapa Nanenane Dodoma nimeshangaa kumwona Bashe anapiga kazi eti ni waziri na anatumia V8 ya serikali. Mbona mhe. diwani wetu kazi zake zote zinafanywa na mtendaji wetu wa kata. Au wizara ya Bashe haina katibu mkuu...
  4. T

    Dkt Nchimbi afika msibani kwa Job Ndugai ampa pole mke wa marehemu Dkt. Fatma Mganga

    Sema kama wanavyopindisha kwenye kesi ya Tundu Lissu.
  5. T

    GE2025 Sensa 2022, watanzania umri miaka 15+ wapo 29,842,718 na hao ndio wanasifa kupiga kura 2025. Tume ya uchaguzi itujibu 37,655,559 wanatoka wapi?

    Nimepitia takwimu ya Sensa ya taifa iliyofanyika 2022, katika jedwali la mgawanyo wa idadi watu kiumri katika makundi ya miaka mitano mitano ( Population Distribution by Age Group). Ukianzia na kundi la chini kabisa la miaka (15 - 19) mpaka la wale zaidi ya umri 85 . Jumla ni watanzania...
  6. T

    Kumbukizi: Kibajaji na Hoja ya Kihistoria Katika Mkutano Mkuu wa CCM – 2025

    Samia angemwelewa haya yasingetokea leo . Ni kweli bunge bado linahitaji darasa la saba kuliko hata PhD. Kwani PhD nyingi ni za jalalani.
  7. T

    Freeman Mbowe apata picha ya kipekee na Rais Samia

    MCH. Msigwa atakuwa amenuna huko aliko. Kusikia Mbowe hehe kapiga licha na Rais wakati hehe anaishia kwa Makalla.
  8. T

    Kada wa CCM ahamia CHAUMMA

    Nimeona taarifa kuwa Kuna wanaCCM watahamia Chaumma na kuwa wabunge na baadae kutengeneza Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni fake Ili kuwalaghai wazungu walete pesa. Kuchangia bajeti yetu tegemezi chini ya kiongozi wa Upinzani Bungeni Mbowe. Atakayekuwa mbunge wa kuteuliwa na Rais baadae ya...
  9. T

    CHAUMMA wakosa watu kwenye mkutano wao Songea

    Nani kawadanganya wakaacha kufanya mkutano wa ndani. NRNE.
  10. T

    Hayo makanisa 2,000 na waumini milioni 4 wa Gwajima wako wapi?

    Mwamposa hana waumini. Ni mwanamaombi anayemiliki hema na siyo kanisa wanaofika kwenye maombi ni waislamu, wasabato, wakatoliki, n.k. Ni Sasa na Mwakasege tu.
  11. T

    Tetesi: Kigogo: Humphrey Polepole aomba hifadhi Sweden!

    Atakuja. Siyo lazima iwe leo.
  12. T

    Waliohamia CCM toka upinzani hawawezi ongoza kura ya maoni CCM labda Kwa kubebwa na Rais tu hata wakishindwa.

    MCH. Peter Msigwa ana hata hiyo pesa ya kuhongaa Sasa!!!
Back
Top Bottom