Yap
Ndiyo ,na hadi Leo zipo .Ukitafakari utaona Africa tuna tembea na dini mbili 1.Za asili 2 , za kisasa na watu husema dini haiuwi Ila mila inauwa !!!! Ukisoma vitabu hususani agano la kale lina mafungamano makubwa na baadhi ya tamaduni na imani nyingi za kiafrica ,,,,kuna kabila nalifahamu...