Recent content by tpaul

  1. tpaul

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Mkuu umemaliza kila kitu. Kuna dada yangu mmoja anasali huko kwenye makanisa ya mabati yaani ni mwendawazimu kabisa. Yupo tayari achukue pesa zote atoe sadaka, watoto walale njaa. Nadhani wale "manabii" wao huwa wanawaroga aisee!
  2. tpaul

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    https://www.jamiiforums.com/threads/utafiti-wanawake-wa-kuoa-wanapatikana-mtaani-sio-kwenye-ulokole-shauri-yako.2164447/post-48654697
  3. tpaul

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Martin Chegere awa Profesa wa Uchumi

    Ni nani huyu mkuu?
  4. tpaul

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utafiti: Wanawake wa kuoa wanapatikana mtaani sio kwenye ulokole, shauri yako!

    Hivi wanawake wa siku hizi wana matatizo gani jamani? Mbona wanashinda sana makanisani kwa manabii hadi wanawatelekeza waume zao?
  5. tpaul

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Walokole wengi ni vichaa wa imani (ambayo hawailewi wala kuipractise sawasawa). Shemeji yangu mmoja kila kukicha anahama manabii. Alianzia kwa nabii mzee wa upako aliyekuwa akimsifia hata kuliko mume wake. Baadaye akahamia kwa nabii Mtalemwa. Hapa alikaaa sana kabla ya kubadilisha gea angani...
  6. tpaul

    JamiiForums Tanzania Sikuwahi kufahamu sharia za kiislamu ni za ovyo kiasi hiki; naomba wasiruhusiwe kuwa na mahakama ya kadhi

    Hurithi kivipi wakati sharia zinakataza mkuu?
  7. tpaul

    JamiiForums Tanzania Sikuwahi kufahamu sharia za kiislamu ni za ovyo kiasi hiki; naomba wasiruhusiwe kuwa na mahakama ya kadhi

    Hayo yalikuwa mambo ya zamani na hakuna aliyewahi kushuhudia watu wakikatwa mikono. Lakini sharia za kikatili zinatekelezwa hadi leo licha ya kwamba hiki kitabu cha waarabu wao wenyewe hawakifuati tena. Ni wamatumbi tu ndio wanashoboka na sharia hizi batili zilizotungwa na waarabu. Ama kweli...
  8. tpaul

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Lissu kuendelea kusalia Gerezani haina afya, Nchi haiwezi kutulia bila maridhiano

    Huyu mama kama maCCM yangemsikiliza nchi hii ingekuwa mahali salama pa kuishi. Nawashangaa sana maCCM kwanini hayayafanyii kazi maoni ya Profesa.
  9. tpaul

    JamiiForums Tanzania Sikuwahi kufahamu sharia za kiislamu ni za ovyo kiasi hiki; naomba wasiruhusiwe kuwa na mahakama ya kadhi

    Mkuu naona wewe sasa unataka kutuletea historia. Kwani mgalatia yeyote anafanyiwa haya siku hizi tofauti na wamatumbi ambao mnajifanya mmeishika dini kuliko hata ya waarabu wenye dini yao?
  10. tpaul

    JamiiForums Tanzania Sikuwahi kufahamu sharia za kiislamu ni za ovyo kiasi hiki; naomba wasiruhusiwe kuwa na mahakama ya kadhi

    Hizi ni parables; sio mambo ya kweli mkuu. Usidanganyike. Kama hujui maana ya parables, jaribu kugugu uone maana yake.
  11. tpaul

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yatikisa Mbeya Mjini, ni Mwendelezo wa Operesheni Katiba Mpya na Free Lissu

    MaCCM hayapendi kuona CHADEMA ikichanua. Lazima watatafuta sababu ya kuwazuia kuendelea kuchanja mbuga. MaCCM ni majitu ya kipuuzi sana. People'ssssssssssssss..........
  12. tpaul

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Lissu kuendelea kusalia Gerezani haina afya, Nchi haiwezi kutulia bila maridhiano

    Chizi na nusu wewe!
  13. tpaul

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Lissu kuendelea kusalia Gerezani haina afya, Nchi haiwezi kutulia bila maridhiano

    CCM hawapendi watu wenye akili kubwa. Utasikia kesho wamemfutia uraia.
  14. tpaul

    JamiiForums Tanzania Mbegu za habbat soda au black seeds dawa ya haraka ya acid reflux

    Asante mkuu. Zinapatikana wapi?
Back
Top Bottom