Sasa atakimbia mpaka lini? Bora tu aje amsikilize Lissu wapange jinsi atakavyomtetea. Lakini akienda nje ya utaratibu atakula konzi hatakuja kumsahau Lissu.
Pumzika kwa amani King Kinya. Ulipokuwa unawachora watawala nilijua tu wasiojulikana lazima wangefanya mambo yao. Nchi hii ukiwa mkosoaji wa serikali maisha yako yatakuwa mafupi sana. Ngoja tu tuenddelee kuwa machawa. Bado tunapenda kuishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.