Recent content by tpaul

  1. tpaul

    JamiiForums Tanzania Hakuna maandalizi yoyote; tunasubiri Elnino itikise tuanze kumsifu Mama!

    Mtu kuwa mhalifu sio lazima atangazwe na mahakama mkuu. Matendo yako tu yanatosha kukueleza ni mtu wa aina gani.
  2. tpaul

    JamiiForums Tanzania Hakuna maandalizi yoyote; tunasubiri Elnino itikise tuanze kumsifu Mama!

    Mbona povu? Kukaa kwa shemeji wa kambo kumekuharibu kichwa mkuu.
  3. tpaul

    JamiiForums Tanzania Hakuna maandalizi yoyote; tunasubiri Elnino itikise tuanze kumsifu Mama!

    Na pia pesa za majeneza na sanda zipo za kutosha.
  4. tpaul

    JamiiForums Tanzania Hakuna maandalizi yoyote; tunasubiri Elnino itikise tuanze kumsifu Mama!

    Mpangomkakati upo wapi mkuu?
  5. tpaul

    JamiiForums Tanzania Hakuna maandalizi yoyote; tunasubiri Elnino itikise tuanze kumsifu Mama!

    Sasa wahalifu kwanini wasife mkuu?
  6. tpaul

    JamiiForums Tanzania Historia na safari ya utumishi wa Generali Jacob John Mkunda

    Sasa atakimbia mpaka lini? Bora tu aje amsikilize Lissu wapange jinsi atakavyomtetea. Lakini akienda nje ya utaratibu atakula konzi hatakuja kumsahau Lissu.
  7. tpaul

    JamiiForums Tanzania Hakuna maandalizi yoyote; tunasubiri Elnino itikise tuanze kumsifu Mama!

    Zitakuwepo lakini tutaziweka HURU.
  8. tpaul

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Mrejesho lazima mkuu🤣😅🤣😅
  9. tpaul

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Mkuu waone bodi ya michezo ya kubahatisha wakusaidie kuclaim fedha zako. Akishindwa, waburute mahakamani hao wapuuzi.
  10. tpaul

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mchora katuni gazeti la Mwananchi, King Kinya afariki dunia

    Kwa katuni hizi, lilikuwa suala la muda tu!
  11. tpaul

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Utafiti tayari. Sasa nimeishajua nini mnataka wakati wa kudinywa.
  12. tpaul

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Vijana wa JKT wajirekodi na kusema wakikuta mtu akiandamana watamdhuru

    Naona sasa CCM imeishiwa hoja kabisa. Wameamua kutrain majeshi kwa ajili ya kuleta vurugu hapa nchini.
  13. tpaul

    JamiiForums Tanzania Hili lilikuwa kama swali kuhusu pisi tano nilizofanikiwa kuona hata picha tu

    Kwani picha zao ni real mkuu?😅🤣😅
  14. tpaul

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mchora katuni gazeti la Mwananchi, King Kinya afariki dunia

    Pumzika kwa amani King Kinya. Ulipokuwa unawachora watawala nilijua tu wasiojulikana lazima wangefanya mambo yao. Nchi hii ukiwa mkosoaji wa serikali maisha yako yatakuwa mafupi sana. Ngoja tu tuenddelee kuwa machawa. Bado tunapenda kuishi.
  15. tpaul

    JamiiForums Tanzania Historia na safari ya utumishi wa Generali Jacob John Mkunda

    Sasa mavyeo yote haya inakuwaje amkimbie Tundu Lissu?
Back
Top Bottom