Recent content by tpaul

  1. tpaul

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

  2. tpaul

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Uraibu wa kidini hutokana na imani iliyopitiliza inayovuka akili ya kawaida ya mwanadamu. Yaani mtu unakuwa kama umeshikiwa akili.
  3. tpaul

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Hapa umemaliza kila kitu mkuu. Hii ni miradi ya watu kuvuna sadaka za kondoo wao (cf Mwamposa) huku kondoo wakidhibitiwa wasihoji kitu chochote. Kuna watu wanaijua biblia au korani barabara lakini ukiwachunguza vizuri utagundua hawana imani. Wanaichukulia dini kama kazi zingine zinazowaingizia...
  4. tpaul

    JamiiForums Tanzania Ukiwauliza CHAUMMA na ACT - Wazalendo wanataka kuridhiana nini na CCM hawawezi kukwambia

    Vyama hivyo 18 ni mafisi. Wanasubiri mkono udondoke wale nyama. Watasubiri sana.
  5. tpaul

    JamiiForums Tanzania Mnyika: CHADEMA Haijafanya Mazungumzo na Serikali, Yapinga Kauli ya Rais Samia Lissu kutafakari

    Nchi inayoongozwa kwa damu za watu lazima iteseke namna hii.
  6. tpaul

    JamiiForums Tanzania Mnyika: CHADEMA Haijafanya Mazungumzo na Serikali, Yapinga Kauli ya Rais Samia Lissu kutafakari

    Samuya anatakiwa kwanza aridhiane na wananchi ambao aliamuru wapendwa wao wauliwe na poliCCM mnamo siku ta MO29.
  7. tpaul

    JamiiForums Tanzania HOJA Deni la Daraja la Kigamboni (Mwalimu Nyerere) litaisha lini?

    Hii nchi ina mambo ya kikwuma sana.
  8. tpaul

    JamiiForums Tanzania Askofu Malasusa ameigeuza KKKT kuwa jumuiya ya CCM

    Hakika mkuu
  9. tpaul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Misaada na mikopo tuliyoizoea inaendelea kuondoka, tukaze buti

    Haya yote ni kwa sababu zifuatazo: 1. WHO ARE YOU? 2. Mauaji ya halaiki ya MO29 3. Kutoa takwimu za uwongo za kiuchumi.....kujifanya nchi ipo uchumi wa kati ilhali bado ipo mahututi kiuchumi. 4. Kuminya demokrasia na uhuru wa kujieleza. 5. Kumfunga Tundu Lissu bila kosa lolote. Na bado. Mwaka...
  10. tpaul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Misaada na mikopo tuliyoizoea inaendelea kuondoka, tukaze buti

    Sio tukaze buti. Arudishe maiti za wapendwa wetu tukazike.
  11. tpaul

    JamiiForums Tanzania Kujipodoa kwa mwanaume ni zaidi ya ushoga

    Mkuu unaona ni afadhali kuingia darasani ukiwa shoga kuliko kuingia ukiwa umevaa kimini? Du! Kwa mawazo haya, mapambano dhidi ya ushoga hayatafanikiwa.
  12. tpaul

    JamiiForums Tanzania Askofu Malasusa ameigeuza KKKT kuwa jumuiya ya CCM

    Mgonjwa wewe; unaumwa ugonjwa wa Stroke sio bure. Wahi Muhimbili ukatibiwe.
  13. tpaul

    JamiiForums Tanzania Kujipodoa kwa mwanaume ni zaidi ya ushoga

    Kwa mfano, mwalimu akiingia darasani akiwa amevaa kimini hadi chupi imejichora na mapaja meupe yanaonekana hadharani unafikiri wanafunzi wataelewa chochote? Kasome psychology mkuu.
  14. tpaul

    JamiiForums Tanzania Askofu Malasusa ameigeuza KKKT kuwa jumuiya ya CCM

    Cha mlevi (KKKT) huliwa na mgema (CCM).
  15. tpaul

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    MiCCM ni mijitu miquma sana. Kwanini inamsumbua Lissu bila sababu za msingi?
Back
Top Bottom