Hapa umemaliza kila kitu mkuu. Hii ni miradi ya watu kuvuna sadaka za kondoo wao (cf Mwamposa) huku kondoo wakidhibitiwa wasihoji kitu chochote. Kuna watu wanaijua biblia au korani barabara lakini ukiwachunguza vizuri utagundua hawana imani. Wanaichukulia dini kama kazi zingine zinazowaingizia...
Haya yote ni kwa sababu zifuatazo:
1. WHO ARE YOU?
2. Mauaji ya halaiki ya MO29
3. Kutoa takwimu za uwongo za kiuchumi.....kujifanya nchi ipo uchumi wa kati ilhali bado ipo mahututi kiuchumi.
4. Kuminya demokrasia na uhuru wa kujieleza.
5. Kumfunga Tundu Lissu bila kosa lolote.
Na bado. Mwaka...
Mkuu unaona ni afadhali kuingia darasani ukiwa shoga kuliko kuingia ukiwa umevaa kimini? Du! Kwa mawazo haya, mapambano dhidi ya ushoga hayatafanikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.