Recent content by tpaul

  1. tpaul

    JamiiForums Tanzania Nabii Suguye: Kufunga ndoa kanisani ni upagani

    Yupo sahihi. Ndio maana unaona watu hawamshambulii. Kila mtu anamkubali.
  2. tpaul

    JamiiForums Tanzania KERO Najutia kusoma fani ya Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics – MVM), Ajira Portal imetusahau kabisa

    Huyu jamaa atakuwa kaweka kambi kijijini ambako hakuna magari. Namshauri asogee mjini. Atapiga kazi mpaka atachanganyikiwa.
  3. tpaul

    JamiiForums Tanzania KERO Najutia kusoma fani ya Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics – MVM), Ajira Portal imetusahau kabisa

    Namshangaa sana hata mimi. Mafundi magari wanapiga hela sana. Labda yeye ni fundi wa vitabuni tu; hana lolote kwenye practical.
  4. tpaul

    JamiiForums Tanzania KERO Najutia kusoma fani ya Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics – MVM), Ajira Portal imetusahau kabisa

    Mkuu usilie sana. Jiajiri. Mafundi magari ni baadhi ya watu wanaopiga pesa nyingi sana wakijiajiri. Tatizo labda sasa hivi mafundi wamekuwa wengi sana. Hela za ufundi hazitoshi mgawane. Labda useme hili mkuu.
  5. tpaul

    JamiiForums Tanzania Nabii Suguye: Kufunga ndoa kanisani ni upagani

    Nabii kuna wakati anasema ukweli bila kumumunya maneno. Ndio maana serikali ilimfungia kanisa lake.
  6. tpaul

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CCM achota mke wa mtu; wananchi wamemkataa

    MiCCM ni mojitu ya ovyo sana
  7. tpaul

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

  8. tpaul

    JamiiForums Tanzania Nabii Suguye: Kufunga ndoa kanisani ni upagani

    Ndio maana nimesema huyu nabii kuna baadhi ya mambo yupo sahii 💯%, likiwemo hili la kufunga ndoa kanisani.
  9. tpaul

    JamiiForums Tanzania Nabii Suguye: Kufunga ndoa kanisani ni upagani

    Nakuunga mkono mkuu. Lakini ameongea ukweli 💯%.
  10. tpaul

    JamiiForums Tanzania Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

    Haya mambo ya kufunga ndoa kanisani au msikitini yameletwa na wakoloni ili kutupumbaza akili tuendelee kukamuliwa pesa za kufungishwa ndoa na maaskofu walafi. Kwa siku askofu anaweza kufungisha ndoa 10 na kila ndoa moja ni Tsh laki 5. Kwanini asineemeke?
  11. tpaul

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Wewe ni zaidi ya mwehu mkuu. Unataka serikali iendelee kuteka na kuua watu hadi lini? Punguza upunguani wako, hata kama huwezi kuumaliza kabisa.
  12. tpaul

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Mbona hii haijafutwa mkuu? Tuliza mzuka tujadiliane kwa utaratibu.
  13. tpaul

    JamiiForums Tanzania Nabii Suguye: Kufunga ndoa kanisani ni upagani

    Jamaa yupi mkuu? Kwani kaongea uwongo? Amesema ukweli tupu mkuu.
  14. tpaul

    JamiiForums Tanzania Nabii Suguye: Kufunga ndoa kanisani ni upagani

    Mkuu, umemaliza kila kitu. Tusubiri wabishi waje kubisha bila hoja.
  15. tpaul

    JamiiForums Tanzania Nabii Suguye: Kufunga ndoa kanisani ni upagani

    Nabii kaongea mambo ya msingi sana. Kama mtu hataki kumsikiliza na kufuata mafundisho, hilo ni tatizo lake binafsi.
Back
Top Bottom