Mkuu usilie sana. Jiajiri. Mafundi magari ni baadhi ya watu wanaopiga pesa nyingi sana wakijiajiri. Tatizo labda sasa hivi mafundi wamekuwa wengi sana. Hela za ufundi hazitoshi mgawane. Labda useme hili mkuu.
Haya mambo ya kufunga ndoa kanisani au msikitini yameletwa na wakoloni ili kutupumbaza akili tuendelee kukamuliwa pesa za kufungishwa ndoa na maaskofu walafi. Kwa siku askofu anaweza kufungisha ndoa 10 na kila ndoa moja ni Tsh laki 5. Kwanini asineemeke?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.