Recent content by tpaul

  1. tpaul

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Umemaliza kila kitu mkuu.
  2. tpaul

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Atatoa ushahidi huyo aliyemuaa mkuu; sio mimi. Clip yake inajieleza kila kitu.
  3. tpaul

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Ndezi ni wewe unayetetea miili ya raia kuchomwa kwenye tanuru badala ya kukabidhiwa kwa ndugu na jamaa wakaizike kiheshima.
  4. tpaul

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Polepole aliyeyushwa ndani ya pipa la conc sulphuric acid mkuu.
  5. tpaul

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Huyo jamaa ni zaidi ya chizi, atakupasua kichwa; achana naye mkuu.
  6. tpaul

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Du! Samahani nimejichanganya vibaya sana mkuu. Nilikuwa nampa za uso Tlaatlaah nimechanganya mafaili mkuu.
  7. tpaul

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Mkuu kitendo cha mimi kutangaza maslahi (to declare interest) haimaanishi kuwa nina maslahi binafsi bali nataka umma unielewe kuwa naongelea mtu ninayemfahamu (mbunge wangu). Lengo ni kuondoa sintofahamu yoyote inayoweza kujitokeza wakati wa mjadala huu.
  8. tpaul

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Mkuu kumbuka kuna ushahidi wa eye witness na ushahidi wa kimazingira. Huyu jamaa lazima akamatwe ashtakiwe kwa mauaji ya Lukuvi.
  9. tpaul

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Waliapa lini na wapi mkuu?
  10. tpaul

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Mkuu hivi unajua unachosema au umekula jani la chuga?
  11. tpaul

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Mpumbavu ni wewe unayepayuka bila ushahidi.
  12. tpaul

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Unaweza kuleta ushahidi mkuu? Mkuu sasa mbona unaleta tuhuma bila ushahidi. Si ukae kimya tu?
  13. tpaul

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Je, Tundu Lissu yeye alikuwa kisiasa au kiuhalisia?
  14. tpaul

    Kijana avunjavunja gari hadharani baada ya kuvurugwa na mpenzi wake

    Hatari sana mkuu. Weka mbali na watoto.
Back
Top Bottom