Recent content by tpaul

  1. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Yes. Inabidi safari hii apande cheo kutoka kuwa chawa mwandamizi hadi kuwa mbunge. Ndugu yangu Lucas mwashamba kachukue fomu huko Isimani. Utakuwa chawa mwandamizi hadi lini ndugu Lucas Mwashambwa?
  2. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Kule Peramiho hawakutenda haki. Mtoto wa Jenista alishinda lakini CCM wakampiga chini kimizengwe. Ndani ya CCM kuna mijitu yenye roho mbaya sana.
  3. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Sawa mkuu. Kwanza watoto wake wakipata uongozi itakuwa ni njia mojawapo ya kuifuta jasho familia. Itapendeza sana.
  4. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Hawawezi kwenda kinyume na utaratibu wa chama mkuu. Mbona Ridhwani Kikwete, Fred Lowassa, mtoto wa Selina Kombani, January Makamba, Wanu Hafidh, na wengine hawakupigwa chini mkuu?
  5. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Kwa hiyo unataka kusema Brenda hafai au unasema nn mkuu?
  6. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Sio hivyo mkuu; ni msomi - ana shahada mbili.
  7. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Nimechanganya lakini nimeisharekebisha mkuu.
  8. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Kwani wewe akiongoza Brenda kinakuuma nini mkuu? Ukumbuke Brenda ni msomi mwenye shahada mbili. Usimdharau kamwe.
  9. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    CCM ndiye baba wa siasa mkuu. Ndani ya CCM hakuna utawala wa kifalme. Akina Ridhwan, Fred Lowassa, Mama Salma Kikwete, January Makamba, Mizengo Pinda Jr, nk wamepita kwa juhudi binafsi. Hata huyu atapita kwa juhudi binafsi. Kwanza mtoto wa mhunzi kuwa mhunzi sio dhambi.
  10. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Hii sio hisani mkuu. Brenda anapewa jimbo kwa kuwa amejifunza mengi kutoka kwa baba yake.
  11. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Wanateuliwa na kupitishwa mkuu
  12. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Kumbe hata wewe umeona mkuu?🤣😂🤣😂
  13. tpaul

    Wassira: Lukuvi alijiunga TANU 1954

    Du! Huyu mzee sasa apumzike siasa.
  14. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Wewe unasema hayo kama nani? Unataka kuharibu utamaduni wa chama?
  15. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Tumpe muda Brenda kila kitu kitakaa sawa mkuu.
Back
Top Bottom