Yes. Inabidi safari hii apande cheo kutoka kuwa chawa mwandamizi hadi kuwa mbunge. Ndugu yangu Lucas mwashamba kachukue fomu huko Isimani. Utakuwa chawa mwandamizi hadi lini ndugu Lucas Mwashambwa?
Hawawezi kwenda kinyume na utaratibu wa chama mkuu. Mbona Ridhwani Kikwete, Fred Lowassa, mtoto wa Selina Kombani, January Makamba, Wanu Hafidh, na wengine hawakupigwa chini mkuu?
CCM ndiye baba wa siasa mkuu. Ndani ya CCM hakuna utawala wa kifalme. Akina Ridhwan, Fred Lowassa, Mama Salma Kikwete, January Makamba, Mizengo Pinda Jr, nk wamepita kwa juhudi binafsi. Hata huyu atapita kwa juhudi binafsi. Kwanza mtoto wa mhunzi kuwa mhunzi sio dhambi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.