Mkuu umemaliza kila kitu. Kuna dada yangu mmoja anasali huko kwenye makanisa ya mabati yaani ni mwendawazimu kabisa. Yupo tayari achukue pesa zote atoe sadaka, watoto walale njaa. Nadhani wale "manabii" wao huwa wanawaroga aisee!
Walokole wengi ni vichaa wa imani (ambayo hawailewi wala kuipractise sawasawa). Shemeji yangu mmoja kila kukicha anahama manabii. Alianzia kwa nabii mzee wa upako aliyekuwa akimsifia hata kuliko mume wake. Baadaye akahamia kwa nabii Mtalemwa. Hapa alikaaa sana kabla ya kubadilisha gea angani...
Hayo yalikuwa mambo ya zamani na hakuna aliyewahi kushuhudia watu wakikatwa mikono. Lakini sharia za kikatili zinatekelezwa hadi leo licha ya kwamba hiki kitabu cha waarabu wao wenyewe hawakifuati tena. Ni wamatumbi tu ndio wanashoboka na sharia hizi batili zilizotungwa na waarabu. Ama kweli...
Mkuu naona wewe sasa unataka kutuletea historia. Kwani mgalatia yeyote anafanyiwa haya siku hizi tofauti na wamatumbi ambao mnajifanya mmeishika dini kuliko hata ya waarabu wenye dini yao?
MaCCM hayapendi kuona CHADEMA ikichanua. Lazima watatafuta sababu ya kuwazuia kuendelea kuchanja mbuga. MaCCM ni majitu ya kipuuzi sana.
People'ssssssssssssss..........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.