Na ndio mana Ben katangulia mbele za haki alioa demu wa mramba ili apate cheo mpare yupo na mama Ben yupo. Kama unawashauri watu waoe kwa koneksheni sasa na nafasi ya mapenz iko wapi?
Jeff yupo single, bilgates yupo single, ujue me sio muumini wa kataa ndoa ila nisepe ukweli majamaa wa kataa ndoa huwa wana point fulan zinaweza kukusaidia kwenye maisha ya mahusiano na hizo ndio huwa nadeal nazo...
Hospital gani ? Nlikuwa aghakhan sijaulizwa kitu kama hiyo, na kama wanauliza na wao ni racist pia, hakuna logical explanation ya kumtibu mtu ugonjwa na kujua dini yake na kabila lake. Kunatengeneza matabaka ya upendeleo wa huduma. Mfano kuna siku nlimpeleka mama dental clinic ya muhimbili sasa...
Yan kwenye magroup yenu ya WhatsApp ndio mawazo yenu haya, aisee this country has a very long way to go, au wewe WASIRA MASTA ? MANAKE AISEE, SIELEWI 😂😂😂
Mkuu juzi nlikuwa najaza taarifa za bank kwa nida hata jina la mwanangu walisema nimekosea huyu sio anataka hizo taarifa amezisahau anajaribu tu Kucross check tu awe na uhakika, nakumbuka hata wakati naingia kwenye mfumo wa TRA nliulizwa maswali yakanitoa knockout, jina la mama nlikosa, mara...
I am not complaining, I don't like complaining, but I am telling you to stick with what has been said instead of attacking people personally, attacking people personally is not going to give us answers is it ? It not nonsense before you clarify it's nonsense...watu wanataka majibu hawataki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.