Kwa upande wako na wa mtoto endapo atakua ni O+ kwa kurithi blood group ya baba hakutakua na shida yoyote. Ila, kama mtoto atarithi blood group yako na kwa bahati mbaya kukatokea mchanganyiko wa damu yako na ya mtoto either kabla au wakati wa kuzaliwa inaweza kuleta shida. Wakati wa kuzaliwa...
huyu mama, yupo kama speaker kwa malengo ya wachache, kwa ufupi ni kwamba hiyo nafasi kwake ni maji marefu, atajutia nafasi hii, amezoea kuropoka kama mwanamipasho, tusubirie!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.