Recent content by totoadela

  1. totoadela

    Wife amebadilika ghafla naumia

    Naunga mkono hii hoja, nina uhakika nayo kabisa
  2. totoadela

    Vifo vimezidi

    Mwaka kichaa huu, hadi napata uoga wa kusafiri aiseeh
  3. totoadela

    Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

    Mpaka mpangaji ameshasema kuhusu unyanyasaji mtoto anaopitia...Hiyo ampe pumziko kidogo huyo mwanamke ili ashike adabu
  4. totoadela

    TV4Sale Tv inch 65 Hisense Used inauzwa

    Naona umejiuliza swali 🤣🤣🤣 Mkuu hii si akaunti yako ss unajiuliza tena ilihali mzigo upo nayo mwenyewe😂🤔🤔
  5. totoadela

    Zifuatazo ni Simu zinazoweza Kukutambulisha Wewe ni mtu wa aina gani

    Namba 2 nahisi ukweli mtupu...am proud to use Samsung 😅
  6. totoadela

    Je, nikimnyima tendo nitakuwa sawa?

    😀😀😀 anapitia mazito
  7. totoadela

    Je, nikimnyima tendo nitakuwa sawa?

    Ila nyie ni shida 😀😀🤣 Hamridhiki kabisaa
  8. totoadela

    Je, nikimnyima tendo nitakuwa sawa?

    Duuh Pole sana mamii Hawa ndo wanaume wetu sasa Ni jambo la kumuomba Mungu tu hakuna namna
  9. totoadela

    Vifo vya watoto mashuleni vinavyotokana na kufanya usafi kwenye ghala za kuhifadhia mahindi

    suala la walimu naona limekugusa pole sana Mwal. Mu7 Ila akili zenu kisoda wakati mwingine
Back
Top Bottom